Ktk wale 24 wamepona wawili na wale wawili wengine waliopona mwanzo ukijumlisha jumla ya waliopona tz wanakuwa 4! Kenya wanakosea wapi..??
What is going on in Kenya..??
Uzungu koko unawaponza....Kenya wanakosea wapi..??
What is going on in Kenya..??
Hata Tz idadi nikubwa isipokuwa sisi tunatangaza kwa kuvizia upepo wa watu ukoje?
Lete ushahidiHata Tz idadi nikubwa isipokuwa sisi tunatangaza kwa kuvizia upepo wa watu ukoje?
Hata Tz idadi nikubwa isipokuwa sisi tunatangaza kwa kuvizia upepo wa watu ukoje?
Hawezi kuficha corona ili iweje? Hii hatua ya watu kuitikia wito kila Kona wananawa sio ndogo huenda ikawa ni moja hatua madhubuti kuliko tunavyofikiri.
Hivi hiyo Coronavirus haijafika Tanzania bado, au una maana nyingine?Kwa Africa Mashariki idadi ya watu waliopata corona Kenya ipo juu,kila siku idadi ya watu inaongezeka,leo 172.
Wizara ya afya na uhamiaji wanatakiwa kuongeza umakini kwenye mpaka wa Kenya.
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Ndugu yako au una mtu unamjua anaumwa corona??Hata Tz idadi nikubwa isipokuwa sisi tunatangaza kwa kuvizia upepo wa watu ukoje?
Na hali kwenye ile idadi ya Leo Luna mmoja katokea Tanzania unajua Hilo ??Ktk wale 24 wamepona wawili na wale wawili wengine waliopona mwanzo ukijumlisha jumla ya waliopona tz wanakuwa 4! Kenya wanakosea wapi..??
What is going on in Kenya..??
Kwenye familia yako wako wangapi? Au umejuaje wako wengi?Hata Tz idadi nikubwa isipokuwa sisi tunatangaza kwa kuvizia upepo wa watu ukoje?
Wanasema alisafiri Tanzania vipi kama alikuja tayari akiwa ameshaathirika na amerudi nao?Na hali kwenye ile idadi ya Leo Luna mmoja katokea Tanzania unajua Hilo ??
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Tuongeze juhudi kupima na kutambua wagonjwa. Si ajabu kuna watu wanaugua Corona bila kutambuliwa na kudhani ni Malaria. Hizo takwimu siyo jawabu. Kuna mambo mengi ya kuangalia
Sent using Jamii Forums mobile app