Recent content by MVENGEVENGE

  1. M

    Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

    na ameshaanza kunyemelea jimbo la mbinga magharibi akijiita yeye mnyasa hafai kuwa mbunge mana mwongo.! period.
  2. M

    Watumishi walioisadia CHADEMA kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa Nyasa waanza kuona cha moto

    demokrasia na haki haviletwi kwenye sahani kama pilau kwa hiyo msikatishwee tamaa ndio mzidi kuimarika NYASA Iko nyuma sana sababu ya watawala hv haingii akilini mpaka leo hakuna umeme wala barabara ya lami wilaya ambayo iko mpakani amkeni wananyasa time is NOW.
  3. M

    Ikulu: Makonda ni kijana muadilifu

    Pole venting hakuna tena siku hizi acha aliowataja hata wauza unga wanaingia tu.
  4. M

    Shaka Hamdu Shaka aifata CUF Mtwara

    CV yake jamani kunamtu anaweza tuwekea hapa
  5. M

    Prof. Lipumba Afikishwa Mahakamani, akimbizwa kliniki ya UN baada ya Afya yake kubadilika

    .....na sababu zilizotolewa na polisi kutoandamana hazina kichwa wala mgongo!! wakati ccm wanaandama kila siku na kufanya mikutano why not cuf?
  6. M

    Ruhangisa Elphace: Nape ndiye amendika na amevujisha barua,Mwigulu hajapata Barua

    Kinana, Nape, Mwigulu toeni ukweli hapa kwenye jamvi au mmeshasambaratika tayari!?
  7. M

    Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

    Wanajamvi it it hightime tujadili mapungufu ya serikali iloyopo madarakani ili hawa wanaojipitisha kutaka urais, watupe sera zao zitakuwaje: mimi niliyoyaona ni yafuatayo 1. Elimu imeendelea kushuka ubora 2. Maslahi ya wafanyakazi hayakujaliwa ili waongezeg tija. 3. Suala la afya kwa jamii...
  8. M

    Watuhumiwa wengine watatu wa Sakata la ESCROW wafikishwa mahakamani leo

    katika kazi za kipolisi huwezi kumkamata kama ameamua ku coperate fully with PCCB anawapa taarifa zote waliokwenda kwake kuomba mgawo kwa nguvu toka IPTL ilivyoingia tz.
  9. M

    Watuhumiwa wengine watatu wa Sakata la ESCROW wafikishwa mahakamani leo

    Rugemalira anashirikiana na dola saa hz ndie aliotoa ukweli kuwa walikuwa wanamfuata kila siku....in short we say he had decided to "Sing" wengi watafuata!!! big vigogo watatinga mwisho.
  10. M

    Hii ya Pinda sasa ni Kufuru: Akaunti ya Nyau yafikishwa zaidi ya Billioni 10

    hizo ni fedha za za wizi kutoka kwa wananchi period. Hosea my friend where r u? this is time to make yr legancy known.
  11. M

    Mikataba ya kifisadi: Jengo kuu la Air Tanzania kupigwa mnada

    watuambie mikataba ya kukodisha ndege ilipitishwa na AG gani.kwani mikataba yote lazima ipite huko kwa vile ATCL ni kampuni ya serikali.au ilipitishwa na yule yule wa Escrow!! serikali mpya na ije!
  12. M

    Aika Masawe: Jasusi la idara nyeti linaloivuruga MCL

    Agreed!! gazeti hili sasa limepwaya kabisa.
  13. M

    CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

    kasesera mhangaikaji tu maisha yamemshinda mjini sasa Rungwe pole!
  14. M

    Panya Road wavamia maeneo ya Magomeni, Mwananyamala na Kinondoni jijini Dar

    I dont think so....find the root cause first na kuna watu huko nyuma walishatabiri hii hali.
Back
Top Bottom