Ndiyo nipo kwenye hatua za kufanya utafiti kuanzia kuandaa shamba hadi sokon. Mkuu nashukuru kwa kunipatia moyo hapa nahitaji utayar na kupambana ili niweze kufikia lengo.
Ndugu wanajamvi,
Natumaini wazima wa afya nategemea kulima mboga mboga Bagamoyo na kusambaza mjini Dar mwenye uzoefu wa kilimo hiki na changamoto.
Naomba msaada aiseeh!
Poleni na majukumu wakuu,
Nafuga Kuku wa nyama, lakini hadi kufikia Leo wana wiki ya nne maendeleo yao sio mazuri, kwa kifupi wamedumaa! Nilikuwa nawapatia chakula cha CPF lakini hawakui kama mashamba mengine yanavyokuwa. Pia natumia vitastress kama vitamin.
Msaada wakuu na mungu awabariki..
mkuu huyo mwana ccm alikuwa kweli jukwani lakin mkutano ulikuwa Wa kutoa shukurani kwa wananchi baada ya uchaguzi Wa serikali za mitaaa na huyo mwanaccm ni miongoni mwa wajumbe walio chaguliwa wengi ni kutoka ukawa
WAZIRI KABAKA tunaomba hawangalie hawa EROLINK kutoka na taarifa yako kwa vyombo vya habari kuwa tarehe
28/2/2014 iwe mwisho kuendesha shughuli zao lakini bado wanaendelea kupiga kazi zao tena kwa jeuri kama hapa,
customer care vodacom kuna HR wao anasema kama utaki kazi ondoka watakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.