Kilimo cha mboga mboga

muzungu

Member
Aug 8, 2011
25
2
Ndugu wanajamvi,

Natumaini wazima wa afya nategemea kulima mboga mboga Bagamoyo na kusambaza mjini Dar mwenye uzoefu wa kilimo hiki na changamoto.

Naomba msaada aiseeh!
 
Kina pesa sana watu wanajenga na kununua magari kwa heka moja ya mboga mboga kikubwa uwe na pump ya kumwagilia.
 
Kina pesa sana watu wanajenga na kununua magari kwa heka moja ya mboga mboga kikubwa uwe na pump ya kumwagilia.

Ndiyo nipo kwenye hatua za kufanya utafiti kuanzia kuandaa shamba hadi sokon. Mkuu nashukuru kwa kunipatia moyo hapa nahitaji utayar na kupambana ili niweze kufikia lengo.
 
Ndugu wana jamvi natumain wazima Wa afya nategemea kulima mboga mboga bagamoyo na kusambaza mjini dar mwenye uzoefu Wa kilimo hiki na changamoto naomba msaada aiseeh

Mtafute mariam mbewa anatumia jina hilo facebook...! Fuatilia picha alizopost humo...pamoja na contact zake!
 
nashukuru mkuuu nmempata lakin kaniambia ana deal na greenhouse

Greenhouse means ni kilimo cha mbogamboga na maua...labda hujamfafanulia vizuri...what exactly you want to know from kilimo cha mbogamboga...! Mpigie na umuulize kiundani...! Yeye ana mashamba ya mbogamboga huko bagamoyo...!
 
Greenhouse means ni kilimo cha mbogamboga na maua...labda hujamfafanulia vizuri...what exactly you want to know from kilimo cha mbogamboga...! Mpigie na umuulize kiundani...! Yeye ana mashamba ya mbogamboga huko bagamoyo...!

nashukuru mkuuu kaniambia nmcheki jumatatu nione atanipatia mwanga gani ili niweze kufanikisha hili zoezi mungu akubaliki
 
wana jamvi naomba niulize mwenye uzoefu wa hili eti heka moja naweza nikaliandaa kmtaji wa hiki kilimo kwa heka ni kiasi gani:
 
wana jamvi naomba niulize mwenye uzoefu wa hili eti heka moja naweza nikaliandaa kmtaji wa hiki kilimo kwa heka ni kiasi gani:

Inategemea na umepanga kumwagilia vipi, kwani mbegu, kulima, kulainisha, kupanda, palizi, dawa, mbolea, hizi ndizo luti utakazo zifanya, pia kuvuna na kuuza,
 
wana jamvi naomba niulize mwenye uzoefu wa hili eti heka moja naweza nikaliandaa kmtaji wa hiki kilimo kwa heka ni kiasi gani:

Ndugu inategemea na uliko sababu gharama za kilimo depend na sehemu pia vibarua,unalima kwa tractor au mikono,mbegu unazotumia ni hybrid au za kawaida madukani,maji ya kumwagilia na aina ya umwagiliaji unaoutumia
 
Ndugu wana jamvi natumain wazima Wa afya nategemea kulima mboga mboga bagamoyo na kusambaza mjini dar mwenye uzoefu Wa kilimo hiki na changamoto naomba msaada aiseeh

kama umedhamiria na uko vizuri kiuchumi sema tukuunganishe na wataalamu wanaotumia mifumo ya kisasa ya shamba kujimwagilia lenyewe (automatic irrigation) kwa gharama nafuu sana
 
kama umedhamiria na uko vizuri kiuchumi sema tukuunganishe na wataalamu wanaotumia mifumo ya kisasa ya shamba kujimwagilia lenyewe (automatic irrigation) kwa gharama nafuu sana

Hebu eleza kidogo kuhusu automatic irrigation.
 
Hebu eleza kidogo kuhusu automatic irrigation.

Naam.mifumo hii ya umwagiliaji inalenga kutatua matatizo makuu katika kilimo
1:manpower ya kumwagilia shamba.kwanimifumo hii hutumia solar power (40awtts-100watts ) kuendesha microntroller ndogo inayofanya kazi ya kufunga na kufungua bomba kutoka kwenye tank ya kuhifadhia maji au kuwasha water pump ili kuruhusu maji kwenda kwenye shamba pale inapobaini kuwa mimea inahitaji maji na kufunga pale inapojiridhisha kuwa udongo una maji ya kutosha hii ni economic zaidi kwa mazao yanaota kwa mashina mfano Nyanya ,matikiti na hata yanayoota kwa sensa
2;maeneo yenye upungufu wa maji(area with inadequate irrigation water sources).
mifumo hii ni mizuri pale panapokuwa hakuna maji ya kutosha kwa ajili ya umwagiliaji.kwani ni wazi kwamba unapomwagilia ndoo ya maji kwenye shina la mnyanya sio maji yote yatatumiwa na mnyanya .bali kitaalamu utakuta nusu lita ndio inayotumika tu mengine hupotea kama mvuke(evaporation ,aeration) na hivyo maji kupotea bure.mifumo hii hutumia sensor zinazo chimbiwa karibu na mmea ili kuweza kutambua matumizi sahihi (economic) ya maji ili kuepusha maji kupotea bure.
Faida kubwa ya mfumo hii .hujiendesha yenyewe katika kipindi chote cha mimea iwapo shambani bila kuhitaji usaidizi hivyo kuondoa tatizo la manpower.mitambo hutoa alarm na kujizima maji yanapo kwisha kwenye tanki ya maji .unapaswa kuhakikisha maji hayaishi kwenye chanzo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom