Laiti kama ungejua faida za kuwahudumia wazazi usingesema ivyo kabisa bora wewe unafanya kazi, kuna watu wanahudumia wazazi bila hata yakua na kipato cha uhakika
Mimi ni mteja wa NBC na jana nilitoa pesa kupitia ATM zao za pale Shoppers Mikocheni jijini Dar.
Nilitoa laki 4 mara 2 yani miamala miwili chakushangaza wamenikata elfu 3 kwa kila muamala jumla elfu 6
Hii kwenu ikoje wadau na nimewapigia customers care yao mara 2 sijapata majibu yalionyooka...
Radio yangu frequency ni 88.5 clouds fm dsm na haijawai badilishwa toka natumia sub-offer hadi sasa kwenye home theater so kama wewe unaina mbaya radio ziko nyingi tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi ni wa kupuuzwa sababu unapotosha uma na kuleta taharuki kwa taarifa zisizokua na chembe ya ukweli,
Tanesco kuna aina kuu 2 za tariff ambazo ni tariff 1 & 4 tariff 1 ndio tariff ya kawaida ambayo matumizi yake yanaanzia units 76 kwenda juu na bei ya unit 1 ni shilingi 292 bila V.A.T, Na...
Habari wanajamvi.
mimi ni mwanafunzi wa accountant pale T.I.A main campus naingia mwaka wa pili sasa ila hali yangu sio nzuri sana katika hilo somo ambalo ni co subject naomba connection ya mwalimu atakae nifundisha kuanzia what's z bookkeeping na kuendelea...
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.