Ndugu yangu, ushawasikia jamaa wa mboga mboga yani wanalitaja hilo jina zaidi neno Mungu, akiongea sentensi hajamaliza lazima hilo jina alitaje usimsakame lissu,
kwa hiyo mnataka sera za chadema ziwe sawa na mboga mboga, mboga mboga wana zao na chadema wana zao, act wana zao, haziwezi lingana hata siku 1, kwa hiyo mnataka mlazimishe na chadema watoe fomu 1 tu ya uraisi ili wengine wasichukue,
mie ndugu zangu ambao ni polisi nilishafuta wote kwenye simu na sitaki kabisa mawasiliano nao, nimetokea kuwachukia wao mpaka ndugu zangu ambao ni polisi, na wakipiga simu nikajua ni yeye kwa namba nyingine namwambia nitampigia baadae na sipigi
kwani mbowe ni raisi wa nchi, mwenyekiti wenu na nyie mpitisheni miaka 100 hatuna wasiwasi sio uraisi, inaonekana mbowe kupita mumenuna, mipango yenu ya kujipenyeza imefeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.