Recent content by muyawapili

  1. muyawapili

    William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    Miaka mitatu kakaa kimya.. Basi arudishe na riba alafu sheria ichukue mkondo..
  2. muyawapili

    Haji Manara alivyotoa chozi jana kuwalilia viongozi wake!

    Kilio kinaashiriaga vitu vingi..labda posho ndio basi tena.. Pole Manara
  3. muyawapili

    Utekelezaji umeanza,

    Miaka 22 +Miaka 30 = Miaka 52,,hii inamtosha kabisa kuwa na akili za utu uzima.. kila la kheri sharo la kijiji
  4. muyawapili

    Maumivu ya moyo....!!!

    Kaka polee saana..ila ulifanya kosa kumuamini rafiki yako hadi kwa manzi wako.. #kaeni chini muongee na mjue wapi mlikosea..!!
  5. muyawapili

    Edward Lowassa atakiwa kuripoti haraka sana kwa DCI

    Kwanini kuhisi kauli za juzi na sio kauli za nyuma ya juzi. Acha sheria ifuate mkondo wake. Nimechoka na hizi drama. Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
  6. muyawapili

    Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

    Sasa ndio nini???
Back
Top Bottom