Kwakweli mmetutesa sana TANESCO Kagera wiliya Muleba kata IKONDO leo siku ya pili tunalala gizani na shughuli za kiuchumi zinakwama kukaa gizani cijui ndo mmeona kunatufaa hata sikukuu hatjaifaidi yani Kama tupo kisiwani miaka 61 ya uhuru umeme Bado ni tatizo ni aibu kubwa sana tuhurumieni...
Mpaka Sasa huduma haijalejea wakuu tanesco kagera MULEBA hawako siriazi maana njaa zinaua kwani watu tunaishi kwa kutegemea umeme lakini mpaka sasa hakuna kinachoendelea wao wakiwa na mwanga hawawafikirii wengine tusaidieni makao makuu japo tupate hata kujikimu tunakufa njaa kisa umeme TANESCO...
Mbona kwenye ujumbe wangu nmeonesha Kila kitu
Mkoa. KAGERA
Wilaya. MULEBA
Eneo. Kata IKONDO vijiji vya Kamishango.Bumpande na IKONDO.
Tatizo. Huduma ya umeme imekatika toka leo asubuhi mpaka mda huu na hatuoni mafundi wenu wakifanya jitihada za kutatua Hilo tatizo
Mawasiliano. 0757504873
TANESCO
Tatizo la umeme kukatika katika kata ya IKONDO wilaya MULEBA mkoa KAGERA ni changamoto maana linakwamisha shughuli za maendeleo watu tunashindwa kuzalisha kisa umeme.
Leo toka mchana mpaka usiku huu hatuna umeme wakati maeneo ya jirani yana umeme na ukizingatia hizi ni nyakati za sikukuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.