Recent content by Muyagambo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Misingi 5 ya ukulima wa Matikiti Maji

    Asante kwa ujumbe mzuri mm nimkulima mdogo natamani nilime ekari moja ya tikitimaji kipindi cha vuli kuanzia mwezi wa 11 mwaka huu eneo lipo mto ruvu bagamoyo Naomba kujua kama nitakuwa sahihi kwa msimu, Naomba kujua mbegu Bora Na changamoto zingine
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mazao ya muda mrefu ndiyo ukombozi wa mkulima - lima kibiashara ufanikiwe

    Sama Nataman sana kulima kilimo hiki Cha machugwa shamba langu lipo maeneo ya mkata handeni sjui yatabali ushauri please
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hasara kubwa sana ya mfumo mbovu wa elimu kwa watoto wetu ambao wengi hawazijui hasa kwa shule binfasi na serikali pia

    Tatizo katika nchi yetu watu wengi wanachukia walimu sijui kwasababu wapo wengi Kila sehemu? Mwandishi umesema vema sana walimu wanaharibu ujasiri wa watoto kwa viboko ,vipi kuhusu jamii na wazazi? Labda nikupe Siri ambayo huijui wazazi na jamii ndio chanzo kikuu Cha viboko kwa watoto mashuleni...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Magunia ya Mahindi KG 100

    Duuuu wakenya wasipoingia kununua Mahindi yatashukuka zaidi na hizi mvua
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Magunia ya Mahindi KG 100

    Typing error kg 1 kwa 1000
  6. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka

    Kwa umbali huo sjui japo naamin kama unagunia nyingi haizidi sh 10000 kwa gunia
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Magunia ya Mahindi KG 100

    Nimefurahishwa kwa aina utanganzaji ulio fanya ,mm mwenyewe Nina gunia 100 Nipo HANDENI Tanga ,kwaambao wanachukua yote ninaweza kuwalea kwa kg sh 100 Mawasiliano 0620747396
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka

    Nimaelewano Mfano hku kwetu HANDENI to Dar tandamu m 1.3 wakat single lake 7 Hadi 8
  9. M

    JamiiForums Tanzania Bei ya mahindi yaporomoka ghafla, wakulima wapigwa butwaa

    Huku debe 11000
  10. M

    JamiiForums Tanzania Bei ya mahindi yaporomoka ghafla, wakulima wapigwa butwaa

    Hv nikihifadhi Hadi December au January hayawez panda kabsa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nafaka

    Nipo handen Tanga
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bei ya mahindi yaporomoka ghafla, wakulima wapigwa butwaa

    Wadau kwajinsi mnaovyoona Mahindi yatapanda Bei tena kwel?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nafaka

    Jamani watalaamu WA soko la Mahindi vp naona yanashukan Bei vp kunakupanda bei tena
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Wazo zuri naomba unisaidia hilo wazo
Back
Top Bottom