Asante kwa ujumbe mzuri mm nimkulima mdogo natamani nilime ekari moja ya tikitimaji kipindi cha vuli kuanzia mwezi wa 11 mwaka huu eneo lipo mto ruvu bagamoyo
Naomba kujua kama nitakuwa sahihi kwa msimu,
Naomba kujua mbegu Bora
Na changamoto zingine
Tatizo katika nchi yetu watu wengi wanachukia walimu sijui kwasababu wapo wengi Kila sehemu?
Mwandishi umesema vema sana walimu wanaharibu ujasiri wa watoto kwa viboko ,vipi kuhusu jamii na wazazi?
Labda nikupe Siri ambayo huijui wazazi na jamii ndio chanzo kikuu Cha viboko kwa watoto mashuleni...
Nimefurahishwa kwa aina utanganzaji ulio fanya ,mm mwenyewe Nina gunia 100 Nipo HANDENI Tanga ,kwaambao wanachukua yote ninaweza kuwalea kwa kg sh 100
Mawasiliano 0620747396
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.