Ni kweli last two week nilikuwa zahanati X Kuna kazi nilienda kufanya wakati naongea na nurse wa pale akapigiwa simu kwamba Kuna msiba hivyo wanataka dawa ya sindano ya kumuhifadhi marehemu akawaambia pale dispensary hamna lakin atawaulizia kwenye kituo Cha afya Cha jirani, aliambia dawa IPO...
Nitakuambia kitu nachojua kuhusu BOT
Kuanzia mwaka jana mwezi wa 8 walikuwa na uhaba mkubwa wa fedha zote za ndani na zakigeni hivyo walikuwa wagum kuprocess issue yyte ya Hela nakumbuka tulidai Hela BOT kuanzia mwezi wa 9 tukaja kulipwa mwezi wa 1 2024 kwhy ukiskia Hela zimepitia BOT ujue...
😂😂😂 Aseee pole sana mm mwnyew hii nishwah pigwa Hela lakin niliweka ambacho nawez kulose nilipohwa 45k sure odd ni hatar🤣🤣🤣😅😅 tangu pale nikaleft na group
de
Asee hii situation ilinikuta soon after kumaliza chuo, nilikuwa nimetoka kufanya operation ya hernia alafu nikafikia gheto mjomba aliniacha akaenda dar baada ya mamb yake kuwa magum, nakumbuka ilikuwa napopata chakula sili kwa raha nawaza kesho ntakula Nini?, washikj wa mtaani wananipa...
Wakuu kwema!!
Leo naomba ushauri humu jukwaani Nipo interested sana na biashara ya kuchana mbao na kuziuza.
Kama Kuna mwanajamii yeyote anataarifa kuhusu hii biashara naomba asheee hapa
Vitu muhimu navyotaka kujua
1. Bei ya chainsaw
2. Bei za miti
3. Bei za wachananji/fundi
4.Bei za mbao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.