Amepoteza watoto watano (5): William John Malecela, Dkt. Mwelecele John Malecela, Ipyana John Malecela, Senyagwa John Malecela na Dkt. Irene John Malecela.
Fedha na rasilimali nyingine zipo chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hiyo yeye ndiye mtia saini wa mwisho wa bajeti.
Na ikumbukwe kwamba bajeti kutoka Wizara zote hupelekwa bungeni baada ya kuwasilishwa kwa Rais kwanza kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, na ndiyo maana bajeti...
Anayeshughulikia Afya, amechukua nafasi ya Dkt. Grace Maghembe aliyehamishiwa Wizara ya Afya.
Anakwenda kufanya kazi na Dkt. Ntuli Kapologwe, Mkurugenzi wa Huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe, nguli wa Sekta ya Afya nchini.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Nipigie nikupe ufafanuzi japo zao hili halihitaji mambo mengi sana. Mimi ni mwenyeji wa Dodoma na nimelima sana hili zao
0678504178/0625629695
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Hapo kiongozi hujajibu hoja ya kiwango cha uzalianaji ambacho 5.6% na pia watu wanaohamia kutoka Mikoa mingine
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.