Ndio mkuu nyumba yangu bado sijaweka tiles na singbord kwangu hii ni kama pagale haijakamilika kuwa na vigezo vya kuitwa nyumba japo wabongo wengi wanaishi kwenye mapagale ila wanaziita nyumba
Nahitaji mke nimuoe asizidi miaka 27 na akubali kucheck afya.
Mimi sasa
Umri wangu: 27
Kazi : Nimejiajiri
Elimu: degree
Mkoa: Mbeya
Nyumba: Ninayo sijapanga ila ni pagale haijakamilika.
Urefu: futi 5.5
Uzito: 60kg
Tanzania hakuna upinzani ila tuna walamba asali lipo wazi chadema , CUF na ACT wazalendo wote hawa ni CCM B ila Mjomba MAGU alivyoingia mjengoni hakuwa mnafiki aliwaminya wote.
Lakini uchaguzi 2025 huyu mama tapeli atawaonea huruma viongozi wote wakubwa wa upinzani wapate UBUNGE ili watulie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.