Recent content by Muumangu

  1. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za waalimu zamwagwa

    Zamwagwa ndiyo, au we hujaokota mkuu?
  2. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za waalimu zamwagwa

    Majina yapo tamisemi i.e www.tamisemi.org.tz
  3. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za waalimu zamwagwa

    Waalimu wa shule za sekondari na msingi 45 wameajiriwa
  4. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Ni lini ajira mpya za walimu wa science na hisabati zitatoka?

    Niko siti ya mbele, nasubiri jibu
  5. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Naomba Notes za advance wandugu

    Textbooks za a-level hizi hapa
  6. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Mike Tyson amuonya Anthony Joshua!!

    Kapicha ingependeza, wengine hatumjui huyo sijui AJ, tuliacha kuangalia boxing since Mike aliporetire
  7. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Naomba Notes za advance wandugu

    Mkuu nimeshakutumia e-mail yangu
  8. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Naomba Notes za advance wandugu

    Ahsante mkuu
  9. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Naomba Notes za advance wandugu

    Nashukuru kwa ushauri
  10. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Naomba Notes za advance wandugu

    OK sawa mkuu
  11. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Naomba Notes za advance wandugu

    Habari zenu wakuu, poleni kwa majukumu ya kila uchao. Kama mnavyofahamu ajira ni ngumu kipindi hiki, sasa basi katika kuhangaika nimepata katwisheni ka kufundisha kidato cha tano na sita, chemistry na physics, changamoto inayonikabili ikawa notes, sina kabisa notes wala materials ya A-level...
  12. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Wazazi wilayani Mvomero walazimishwa kuchanga fedha kwa ajili ya mishahara ya waalimu wa somo la sayansi

    Ungeongea hivi bila kukashifu upande fulani ningekuelewa, kwani mfumo unaomuandaa Mwalimu kilaza toka Chuo chochote Tanzania uko chini ya serikali yetu tukufu, hivyo kuwa makini na kauli zako kwani sentensi moja inaweza kuibua hisia za chuki kwa watu flani, watoto wetu wanasomeshwa na hawahawa...
  13. Muumangu

    JamiiForums Tanzania Wazazi wilayani Mvomero walazimishwa kuchanga fedha kwa ajili ya mishahara ya waalimu wa somo la sayansi

    Mtoa mada hujielewi wallah, kwa vile wewe umeshasomesha unataka watoto wa wenzio wafeli, na inavyoonekana kwa kuwa baadhi yao nao ni bongolala kama wewe wanashindwa kushughulisha mind zao kwamba anaewashawishi ameshasomesha watoto wake, yeye hana tena jukumu hilo, ni watoto wao watakaofeli, nao...
Back
Top Bottom