Recent content by MUTUYAMUNGU

  1. MUTUYAMUNGU

    Mkataba wa Muungano una kipengele cha ‘Masharti ya Kuuvunja’?

    "muungano NI Kama koti likikushinda unalivua"...mzee Karume
  2. MUTUYAMUNGU

    Temeke: Vijana zaidi ya 20 wa BAVICHA wadaiwa kukamatwa na Polisi

    Msigwa aliwadanganya CCM kuwa nikihama Mimi na vijana WOTE wa CHADEMA watanifuata, Sasa holaaah hapo ndipo CCM inapopata hasira...! NI virungu na KUTEKWA TU kufidia hela alizokula Msigwa.
  3. MUTUYAMUNGU

    Ndege za kivita za IDF zatanda anga la mji Mkuu wa Lebanon Beirut, taharuki kubwa yatanda

    TAIFA TEULE NI TAIFA TEULE TU. Sisi HUKU TANGANYIKA bado tunahangaika na vitambulisho vya NIDA na MAGARI ya kuzoa taka.
  4. MUTUYAMUNGU

    Je wajua hili kuhusu uume wa nyau..?

    HIZI NDIO NYUZI PENDWA KWA GEN Z WA JAMIIFORUMS. part 14 ya KULA tunda kimasihara.
  5. MUTUYAMUNGU

    Isingekuwa tax za Paris Mzee Kipchoge alikuwa anafia huko

    Wakina Simbu nao wazee ukiwauliza kwanini msiwaachie vijana wanasema sisi NI waajiriwa wa JWTZ...ona Sasa aibu waliyotuletea.
  6. MUTUYAMUNGU

    Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

    Kutoka TANGANYIKA wote wamekataa Sasa tunamleta kutoka Dubai ya AFRIKA (unguja)
  7. MUTUYAMUNGU

    NHIF yasitisha Mkataba na Vituo vya Hospitali ya Aga Khan

    Aga Khan mtatoa huduma hamtoi? SUBIRI Mkurugenzi wenu atekwe Kama MO.... SERIKALI HUWA HAIKOSEI. MITANO TENA.
  8. MUTUYAMUNGU

    Watanzani kuweni makini na wezi wamtandao wanajiita blackrock-009 ni wezi

    NCHI INATIA HURUMA HII. HIVI VYOMBO VYA USALAMA VIPO WAPI? WAPO BUSY NA CHADEMA HUKU WANANCHI WANAZIDI KUUMIA.
  9. MUTUYAMUNGU

    Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa

    Si mnasemaga wakimbiaji wazuri wanatoka Arusha na Manyara? Sisi HUKU mbeya tunaendelea KULA maparachichi huku tunacheka kwa chini chini yaani Hadi kurusha tufe mlitutenga kamati ya Olimpiki mmevuna ubaguzi wenu. VIONGOZI WALIKUWA wengi KULIKO wachezaji kkkkkkkk!
  10. MUTUYAMUNGU

    Mahakama yatupilia mbali ombi la Jacquiline Ntuyabaliwe (Mjane wa Reginald Mengi) kuutambua wosia alionao

    Dr. Reginald Mengi starring aliyefia kwenye maua. Dah mwamba ulituangusha Sana Kama vile Adam na Hawa au Delila na Samson BILA kumsahau mke wa Ayubu. R.I.P mzee wa kimachame.
  11. MUTUYAMUNGU

    PreGE2025 Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

    Kwa hiyo Pasco unamaanisha TANGANYIKA KUPATA Uhuru Hadi 2030???!!! Na ikitokea RAIS 2030 akawa Hussein Mwinyi au Mchengerwa maana yake WATANGANYIKA/WADANGANYIKA au MACHOGO KUPATA Uhuru Hadi 2040.
  12. MUTUYAMUNGU

    Trump njia ni nyeupe, Biden na Harris wanaenda kuangukia pua, Waliyataka wenyewe hawana pa kulalamika

    TAPELI MWENZIO T.B JOSHUA (MAREHEMU) ALITABIRI HILARY CLINTON ATASHINDA....MWISHO wa siku aliambulia aibu.
  13. MUTUYAMUNGU

    Msaada: Boss wangu ameniambia nikasomee uchomeleaji

    Upo wapi? Asubuhi ingia kazini, mchana kuanzia saa name ingia mafunzoni VETA Hadi saa 12 jioni. Ukipata ujuzi HATA bosi huyo asipokuajiri sisi Kama " SERIKALI SIKIVU TUTAKUAJIRI KWENYE MIRADI YA KIMKAKATI KAMA BOMBA LA MAFUTA LA HOIMA AU MRADI WA SGR".
  14. MUTUYAMUNGU

    UPDATES: Elimu kwa umma ambayo ni jambo la msingi na endelevu

    Dionis Mutalemwa Bushir wa ECG Makongo.....anayejiita mtoto was Apostle Bushir mmalawi aliyekimbilia AFRIKA kusini kutapeli watu....KAZI ipoooo! Tutafika tumechoka Sana.
Back
Top Bottom