Inanipa shida tafsiri ya Hapa kazi tu
A. Magufuli ni mchapakazi
B. Akichaguliwa kutakuwa na kazi nyingi/ajira za kutosha.
C. Atahimiza watu wafanye kazi kwa bidii
D. Anafanya kazi kwa juhudi kubwa
E. Atasimamia kazi
Ni nini hasa maana/tafsiri ya hiyo falsafa.
Kwani ni mwiko katibu mkuu kuchunga ng'ombe ? We vipi ndugu yangu. Mbona Kikwete ataenda kujihusisha na mambo hayo hayo ya kilimo. Pinda mbona anachunga ng'ombe na bado ni waziri mkuu. Anaweza kuchunga ng'ombe na bado harakati za siasa zikawa palepale. Mwenyewe nataka nianze kuchunga ng'ombe.
Ni kweli kabisa mkuu. Tatizo hawatuelezi tutasomaje hayo matokeo yatakayobandikwa vituoni mapema hata kabla ya kuchanwa na washindwa. Au ndio kusema wananchi hatuna haki kuyasoma, kama ni hivyo nini mantiki ya kuyabandika. Maana mawakala watajua matokeo tokea chumba /Sehemu ya kuhesabia kura...
Kama ndio hivyo kabadilika sana. Nimekuwa nikimkubali sana huyu Mzee kwa makala zake chache nilizowahi kuzisoma. Afu anaonekana ni mtu fulani aliyeelimika sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.