Recent content by Mutombo Dikembe

  1. M

    Live Tbc1: Rais Kikwete anazungumza kuhusu muungano

    Kweli we kifaurongo! Darasa la saba ulihitimu lini weye? eti ulinufaika? umenufaika nini wewe zaidi ya uzandiki? Umezaliwa na kizazi chenu wote CCM hivi unafikiri uwezo wako wa kufikiri utabadilika? Na ndio maana wewe hata shule ulisumbua sana watu kwa akili yako mbaya, mvivu wa kuelewa halafu...
  2. M

    Live Tbc1: Rais Kikwete anazungumza kuhusu muungano

    Huyu Kikwekwe ana macho lakini haoni! Hataki kusoma alama za nyakati...anafikiri watanzania wote wajinga?
  3. M

    Live Tbc1: Rais Kikwete anazungumza kuhusu muungano

    Jana mmepewa elfu mbili mbili mkazunguka Kinondoni na mashati yenu meusi mkinadi 2 zinatosha! Wapumbavu msiotumia akili na mawazo yenu mgando! Mrudi shule akaelewe mlikuwa mnasoma nini! Sio mnaenda enda tu kama kenge wanaofuata mkumbo safari ya mamba. Tunawaangalia tu mlivyo na njaa na vikazi...
  4. M

    Live Tbc1: Rais Kikwete anazungumza kuhusu muungano

    Sijawahi kuona "rahisi" ----- kama huyu!
  5. M

    Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa

    Ukwaju, Hapana mtu wangu si unajua maisha hayana masihara na nimeshaona mtu kamuua mkewe hivihivi. Jamaa kalianziasha nje kule kumbe mdada alikuwa HIV carrier halafu jamaa akafanya nyumba ndogo, muda mfupi baadaye dada wa watu kaanza mara homa, mara kikohoo, mara kizunguzungu, jamaa kamuhudumia...
  6. M

    Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa

    Halafu wewe Ukwaju nitakukaribisha Quartier Bel-air, Lubumbashi uje ule lengalenga!
  7. M

    Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa

    Lara1 you can make the best of it or you can let it get the very best out of you. It takes passion and commitment to change anything, but changes starts with you and those around you! When my time comes and when I have my interview with my God almighty, our conversation will focus on the...
  8. M

    Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa

    That was meant for you sweetie! It doesn't effect anything in my kingdom but thats not an excuse for me to let people like you swing unnoticed!! Seems you are more concerned and happy about the person committing adultery na kushabikia ujinga! A man/woman who commits adultery lacks judgment...
  9. M

    Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa

    Utumbo unaoungea humu una-reflect ulinvyo na tabia zako za kikahaba period!! Nyie ndo kizazi kilicholaaniwa na kujifanya unaifahamu sana hii dunia, ushamba na ulimbukeni wa maisha ndo vinavyokusumbua. Msekwenge wa kike wewe! Hii dunia ingekuwa na amani sana watu kama wewe wasinge exist!! Kule...
  10. M

    Hii style ya kuvaa naipenda sana!

    Nilianza ku edit kabla sijasoma mistari yako mkuu. Daah! nimeahirisha maana umemaliza kutoa elimu ileile niliyotaka kutoa kwa hawa nyaga watoto wa shangazi. Dawa ya hawa machepele ni kuwapa mifubata tu!! Kamata tano mkuu...
  11. M

    Be foward Tanzania hamjajipanga, boresheni huduma.

    Daaah! Thanks mkuu. Bora nifute mawazo ya hawa jamaa kufanya nao biashara, isije ikawa hasara juu ya hasara! Rather niendelee na Yu.a.sa.....
  12. M

    Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

    Wewe Mbukoi una akili sana wewe! Thanks umemuelimisha ndugu yetu...
  13. M

    Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

    Kuna vitu unapaswa kufanya ila hufanyi na vilevile kuna vitu hupaswi kuvifanya ila wewe unafanya! Ndoa inataka uelewa mpana sana na sio mambo 6X6 tu baada ya hapo basi kila mtu anaangalia ustaarabu wake ujue hapo kuna utata na haichukui muda mrefu utasikia ndoa iko matatani. Kupendana...
Back
Top Bottom