Recent content by Mutagairwaa

  1. Mutagairwaa

    Historia ya Kabila la Wahaya

    Mimi ni Muhaya yaaan muhaya haswaa.. Huwa nafurahi sana naposikia watu wanavyotuongelea wahaya. Bila Shaka shida hipo lakini jamani tuna mazuri yetu pia mbona huwa tukiyaeleza hamtaki kabisa kuyasikia tuliwakosea nn Ndugu??
  2. Mutagairwaa

    Historia ya Kabila la Wahaya

    As long ww ni muhaya huwezi kuikimbii hii budern. Uwe na Sifa au husiwe na sifa Wewe ni muhaya kama wahaya wengine.
  3. Mutagairwaa

    Rais Magufuli unamuua mama yangu

    Mbona Kichwa Cha Habari Kikali sanaa
  4. Mutagairwaa

    Jitihada Za Mh. Rais VS Mitazamo Ya Wasomi Mishahara Wa Jamii Forum

    Kama Kuna Kipindi Ambacho Ww Msomi Unatakiwa Kujifunza Kutengeneza Kipato Huru Kwa Kujiajiri Basi Muda Ndio Huu. Kama Hamtataka Badilisha Hizo Mindset Wengi Wenu Mtashinda Jamii Forum Kutukana Viongozi Kwa Miaka Mingi Na Mtachobadilisha Ni Status Za Umember Tu Hapa JF Na Si Zaidi . Mh Rais...
  5. Mutagairwaa

    Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

    Shida Si Kocha Sizonje, Tatizo ni aina ya wachezaji Alionao. Wachezaji hawataki Kufanya mazoezi,Kukimbia,kukaba Yote Hawataki. Wanataka Ushindi Tu Na Magoli Yao Yawe Penalt Tena Wakati Wanapiga Hizo Penalt Kusiwe na kipa Kabisa. Baada Ya Hapo Wawe Mabigwa Na Wanataka Wacheze Mechi Za Kimataifa...
  6. Mutagairwaa

    Dk. Mengi: Kwa sasa tuna serikali iliyo makini, madhubuti na inayotoa matumaini mema

    Hapa Ndo Mahali Pekee Unapoweza kuitwa Genius kama Utapinga Jitihada Za Mh. Rais. Na Ukitaka Kuitwa Mzalendo Basi We Mtukane Kabisa. Aina Hii Ya Watu Wananitahadharisha Sana Niwe Makini Ninapotafuta Mkate Wangu Wa Kila Siku Sababu Watu Wa Aina Hii Ndio Tulionao Katika Jamii Zetu Hawataki Kabisa...
  7. Mutagairwaa

    Mheshimiwa Rais, je makato haya yote ni uungwana?

    Nimesikitishwa Sana Na Maoni Ya Baadhi Ya Wachangiaji Wa Hii Mada. Mm Binafsi Kipato Changu Ni Ya Laki Tano, Nafikiri Kiwango Hiki Ndicho Kilikuwa Thamani Yangu Mbele Ya Macho Ya Mwajiri Wangu By That Time. My Point, Kwa Sababu Kipato Changu Ni Kidogo Haina Maana Sitakiwi Kumsikia Mtu Mwenye...
  8. Mutagairwaa

    Meya wa UKAWA, anzisha Dar es Salaam Municipal Port (DMP), DSM City Train na Satellite town

    Wabongo Bana. Yaan mwenzie Kaleta Mada yeye Kajifanya kwamba anamawazo ya kisasa Sana kuliko mtoa mada. Basi ngoja tusikilize hizo plan zake za kisasa, Pumba tupu. Kuwa na busara Mzee, Mtoa mada asingesubutu kusema anachofikiri sijui ww mdandia meli hizo critics zako za kishamba ungezitolea...
Back
Top Bottom