Recent content by MUSUMIFYCOM

  1. M

    Wabunge wa CHADEMA wamewafundisha CCM

    *WABUNGE WA CHADEMA WAMEONYESHA KWA VITENDO* *JOHN HECHE TARIME VIJIJINI* *ESTER BULAYA BUNDA MJINI* *ESTER MATIKO TARIME MJINI.* Hawa ni wabunge kwa tiketi ya chadema, wabunge hawa wamekuwa mfano wa kuigwa mkoani mara, ni wabunge ambao wameonyesha kuweza kuwahudumia wananchi kwa vitendo na...
  2. M

    Ruzuku kwa vyama inatolewa ya kazi gani kama mikutano imezuiwa?

    *WASOMI HAMUONI HILI* *USALAMA WA TAIFA HAMUONI HILI* Mh rais unatoa ruzuku kwa vyama vya siasa kila mwezi moja ya kazi kubwa ya ruzuku hizi ni kuhakikisha chama kinajijenga,kinafanya mikutano na kulipia gharama zote za harakati na siasa, hivi kama unapiga marufuku siasa mpaka 2020. Je hizi...
  3. M

    BAVICHA Mara safari yaiva kuelekea Dodoma

    *CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)* *OFISI YA BAVICHA MKOA- MARA* *S.L.P 1537 - MARA TANZANIA* *TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI* Ndugu waandishi wa habari, kwanza nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uzima na mpaka sasa tuko pamoja nanyi, vile vile ninawashukuru kwa kufika...
  4. M

    BAVICHA Iringa wasisitiza kuzuia mkutano mkuu wa CCM trh 23 Dodoma

    BARAZA LA VIJANA MKOA WA IRINGA (BAVICHA) 06/07/2016 Taarifa kwa vyombo vya habari! Ndugu waandishi wa habari, Awali ya yote naomba nianze Kwa kumshukuru Mungu Kwa kutujalia afya na uzima hata tukaweza kukutana hapa asubuhi ya leo tukiwa salama. Pia tunamshukuru Mungu kwaajili ya ndugu zetu...
  5. M

    Magufuli ampiku Lowasa urais 2015

    kanda ya ZIWA TUNAMTAKA LOWASSA magufuri apewe wizara tu ,awe waziri .
  6. M

    Wanavyuo wampongeza Lowassa

    Lowassa tutamheshimu na anastahili kuwa rais wa nchi hiii.
  7. M

    Wanavyuo wampongeza Lowassa

    lowassa chaguo letu.
  8. M

    Wanavyuo wampongeza Lowassa

    WASOMI VYUO VIKUU WAMPONGEZA LOWASSA. Ndugu watanzania na wananchi wote , awali ya yote tunapenda kuwasalimu wazazi na walezi wetu. kwanini WANAVYUO TUNAMUUNGA MKONO mh LOWASSA.? Mh lowassa amekuwa waziri mkuu wa muda wa miaka mitatu 2005-2008. ni wazir mkuu ambaye ameacha TAIFA...
  9. M

    Mwl Mtotomwema Kaspar: Mgombea Urais CWT ,maslahi ya walimu yapata jawabu

    SABABU KUBWA ILIYONIFANYA NIGOMBEE NAFASI YA RAIS CWT TAIFA mimi mwl MTOTOMWEMA KASPAR. 1. Ucheleweshwaji wa upandaji kwa madaraja ya walimu ni kero ya muda mrefu. 2.Kukosekana kwa mrejesho wa mgomo wa walimu ambao waligoma kuonyesha umma na dunia na baadae mgomo ukasimamishwa pasipo walimu...
  10. M

    CHASO Mkoa Iringa wamemtesa Katibu wa CCM Mkoa Iringa Hassan Mtenga

    Ccm sasa wamekosa hoja hadi sasa wanawake wamejua haki zao.
  11. M

    CCM washindwa kukomboa majimbo yao na sasa wanafikiria kukomboa mitaa 2019

    Chama cha mapinduzi kimekaliiwa mara nyingi kikisema kina mikakati ya kukomboa majimbo yote ya upinzan mpaka sasa chama hicho kimetambua na kugundua kuwa kimechelewa na hakiwezi tena kuokoa majimbo waliopoteza bari wanajipanga kupoteza mengine na sasa.katika vikao vyao wanafikiria kukomboa mitaa...
  12. M

    CHASO mkoa Iringa wamemtesa katibu wa CCM mkoa Iringa

    CHASO mkoa Iringa wamemtesa katibu wa CCM mkoa Iringa, Hassan Mtenga. Umoja wa wanafunzi vyuo vikuu unaoundwa na...
  13. M

    CHASO Mkoa Iringa wamemtesa Katibu wa CCM Mkoa Iringa Hassan Mtenga

    Umoja wa wanafunzi vyuo vikuu unaoundwa na vyuo zaidi ya vitatu mkoani humo ambavyo ni university of iringa(tumaini), ruaha catholic university ruco, Mkwawa university muce na vingine, katibu wa ccm mkoani humo amesikika akilaumu katika vyombo vya habari mara nyingi. kwamba ameshindwa maeneo...
  14. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Iringa MJINI tumelinda mtaa wetu wa kihesa kilolo B NA kuongeza A,MKIMBIZI B, D NA C,.HII N KATA YA MKIMBIZI, NDULI MITAA MIWILI. MTWIVILA MITAA MINNE RUAHA MITAA SITA KITWIRU MITAA SABA GANGILONGA MITAA MIWILI. MAKORONGONI MITAA MIWILI ILALA MITAA MIWILI, IGUMBILO MTAA MMOJA...
  15. M

    Wanafunzi zaidi ya 400 chuo kikuu iringa mwaka wa pili na watatu wasimamishwa masomo kuanzia leo

    Wanafunzi mwaka wa pili na watatu EDUCATION ARTS WAMESIMAMISHWA MASOMO YAO KUANZIA LEO SABABU KUBWA NI KUDAI HAKI ZAO KUTOKA BOARD YA MIKOPO.
Back
Top Bottom