MUSUMIFYCOM
Member
- Nov 28, 2012
- 55
- 28
*WASOMI HAMUONI HILI*
*USALAMA WA TAIFA HAMUONI HILI*
Mh rais unatoa ruzuku kwa vyama vya siasa kila mwezi moja ya kazi kubwa ya ruzuku hizi ni kuhakikisha chama kinajijenga,kinafanya mikutano na kulipia gharama zote za harakati na siasa, hivi kama unapiga marufuku siasa mpaka 2020. Je hizi pesa zinatolewa kwa kazi gani?
*Hebu tutafakari wote*
By *musumi (RAIA WA TANZANIA)*
*USALAMA WA TAIFA HAMUONI HILI*
Mh rais unatoa ruzuku kwa vyama vya siasa kila mwezi moja ya kazi kubwa ya ruzuku hizi ni kuhakikisha chama kinajijenga,kinafanya mikutano na kulipia gharama zote za harakati na siasa, hivi kama unapiga marufuku siasa mpaka 2020. Je hizi pesa zinatolewa kwa kazi gani?
*Hebu tutafakari wote*
By *musumi (RAIA WA TANZANIA)*