Magodoro ya uhakika nunua Tanfoam kama una maumivu ya mgongo chukua orthopedic ya Tanfoam. Kujua bei na wapi utapata wacheki kenye page zao watakupa bei na namba za wakala kutokana na eneo unalopatikana.
Moja kwa moja bila kupoteza muda ni kwamba hivi karibuni magari niliyowaagizia wateja yamekwama kutokana na system kuwa chini (Wharfage aziomi kwa wakati).
Swali langu kwenu ni lini tabia hii ya uzembe itaondoka na kuepusha kero hizi ili kurahisisha biashara kusonga mbele na kuondoa mizozano...
RAIS SAMIA AANDIKA HISTORIA NYINGINE KIGOMA Mkoa wa Kigoma umepata mashine ya CT-Scan kwa mara ya kwanza. Sasa hospitali zote za rufaa za mikoa zina mashine hiyo inayotumika kufanya vipimo vya ndani ya mwili. #MamaYukoKazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.