Recent content by MUSSOLIN HITLER

  1. MUSSOLIN HITLER

    Jipu lingine la kutumbuliwa ni mahakama ya kazi - CMA

    Tatizo la CMA siyo mahakimu, tatizo la ile ofisi ni Kiongozi Mkuu wa ile Mahakama. Huyo Mkurugenzi wao siyo mbunifu kabisa. Hajui kuwamotivate wafanyakazi wake. Kazi yake kubwa sasa ni kuwashughulikia wafanyakazi wake. Anawapigia simu wafanyakazi wenye kesi na kuwaelekeza waandike barua za...
  2. MUSSOLIN HITLER

    Commission for mediation and arbitration (CMA), taasisi nyeti inayodharauliwa

    Kuna Christopher Mumanyi lakini huyo mwingine Bogus kabisa anaitwa Peter Mnyani.. Yaani kichwa chake utafikiri kina funza!! Yaani ni empty box!! Huyu alikuwaga mfanyakazi wa Pepsi..... Sasa akawa na kesi pale Cma akapata uzoefu lakini much know but empty box!!
  3. MUSSOLIN HITLER

    Commission for mediation and arbitration (CMA), taasisi nyeti inayodharauliwa

    Na nawashangaa sana hao CMA, hivi hawaoni kwamba kuwaruhusu watu wasiokuwa na taaluma ya sheria kuwakilisha wateja ni ukiukwaji wa sheria. Ni lini watatuondolea hawa wasumbufu? Sheria hawazijui basi ukikutana nao hasa huyo Mnyani ni shida na ma PO yasiyoisha. Sisi mawakili tunapata shida...
  4. MUSSOLIN HITLER

    Commission for mediation and arbitration (CMA), taasisi nyeti inayodharauliwa

    Kwa bahati mbaya sheria hazijui anatoa mijitafsiri sijui ya shamba gani... Yaani ukikutana nae ujiandae kucheleweshewa haki yako
  5. MUSSOLIN HITLER

    Commission for mediation and arbitration (CMA), taasisi nyeti inayodharauliwa

    Jamani kweli hii Commission inadharauliwa. Kuna watu wanajiita Wawakilishi binafsi ndani ya Tume ambao wanafanya kazi ya kuwakilisha wateja km mawakili. Kuna wengine ni wajinga wasiokuwa na mfano. Kuna mtu mmoja anajiita Peter Mnyanyi, kwa historia alikuwa anafanya kazi SBC LTD, akaachishwa...
  6. MUSSOLIN HITLER

    Mwenyekiti wa CHAUMMA, Hashim Rungwe ashikiliwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar kwa madai ya utapeli

    Wamwache, hana effect yoyote kwenye taifa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. MUSSOLIN HITLER

    Sasa tumalizeni huu utata rasmi je Cornel Apson Mwang'onda alikuwa wa Monduli au Chato?

    Huyo alikuwa Monduli wala haina ubishi ..... Kama kurudi arudi kwa sababu jembe lipo kazini...... Hapa Kazi Tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. MUSSOLIN HITLER

    Nahitaji mwanaume na kuishi naye kama mume

    Huyo mume wa kupatikana kupitia Social Networks, sijui!! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. MUSSOLIN HITLER

    CHADEMA na Lowassa kwa Ushindi huu wa Raila Odinga mtaweka wapi sura zenu?

    Raila atashindwa tena, amini hivyo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. MUSSOLIN HITLER

    Lowassa atoa somo kwa Magufuli; atinga shambani kwake, hapa kazi tu kwa vitendo siyo maneno

    Mapost mengine bhanaaaa, yanatia hata kinyaa kuyasomaa
  11. MUSSOLIN HITLER

    Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

    Tangu lini mmakonde akawa na shukrani???!!!
Back
Top Bottom