Tuangalie nini maana ya mapenzi
Mapenzi ni upendo wa dhati utokao moyoni
mwa mtu wala si kuvuliwa nguo na mtu . Sijui kama nimeeleweka hapo nina maana gani
Ngono si upendo bali upendo wa kweli upo
moyoni kwa mtu na siku zote apendaye ni
mvumilivu wala hatangulizi ngono mbele humjenga kwanza...
Sio Kila EX wako anayeomba Mrudiane anamaanisha.
Wengine huomba kurudi ili wakutesti tu jinsi ulivyo Mbulula, jinsi usivyo na msimamo na jinsi ulivyo CHEAP na huna Misimamo wala Future.
Mtu mmeachana miezi 6, leo anakutesti arudishe majeshi na wewe ulivyo kiazi upo-upo tu, ina maana miezi yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.