Wachaga wanachukiwa na shetani maana wengi wanadini yakweli ambayo ni ukristo..kwahiyo tatizo sio wachaga..tatizo ni ukristo.ndomaana hata makanisa yanalipuliwa
Ni chama cha madoktari wenye nia ya kutibu watanzania kwa moyo mkunjufu....japo sereksli imeshindwa kutoa mazingira mazuri ya kazi na vifaa kama vitsnda mashuka na dawa.MAT kunadalili raisi wa mwaka 2030 kutoka chama hiki.
Mimi ninacho kiona watu wanahasira miyoyoni mwao kutokana na ugumu wa maisha...so anapotokea mtu atonesha nafsi zao kwa hotuba basi huleta madhara...lema hana shida..shida ni wanao kubali kutoneshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.