Mimi napenda muziki hata usiwe maarufu au hitsong. Watu wengi uwa wanashangaa nyimbo nazosikiliza wanasema ni nzuri sometimes wanakuwa hawajazisikia kabisa.
Nakupa list ya baaadhi ya nyimbo za hip-hop ambazo nazisikiliza sana.
1. Mercy Me - Jay Z
Blame game - Kanye West
Beware - Big Sean...
Simu ninayo ila sio muda wote nitakuwa eneo la biashara ndio maana nikataka iwepo camera. Nitacheki iyo DSLR ila ningeomba kufahamu hiyo inakuwaje na unaijua vipi?
Mkuu mimi nahitaji simple tu kwa ajili ya kazi za stationery mtaani na kupita kwenye mashule na vyuo na vikundi. Hizi bei zako naona kubwa sana mimi nilikuwa napiga hesabu ya laki tatu hadi nne kwa vote...kuna printer niliwai iona sehemu ni ndogo sana inatoa passport photo pekee alafu ni kama...
Wadau wa technology.
Naomba msaada wa mawazo yenu, najua mpo wenye experience ya kutosha kwenye hivi vifaa.
Nataka kununua digital camera na printer mahsusi kwa ajili ya kazi ya picha za passport.
Nahitaji kwa ajili ya kutoa passport za haraka zile za dakika 3.
Nachoitaji ni kusaidiwa jina...
Ninapofanya kazi sio shwari kuna mambo mengi hayapo sawa. Huyu muwekezaji ana nguvu na anajeuri ya kupindisha mambo ya kisheria kuanzia kwa wafanyakazi mpaka mambo ya kimamlaka na ukosefu wa uadilifu.
Nataka nifikishe ili jambo kwenye vyombo vya serikalini na watetezi wa haki za wafanyakazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.