Ningekuwa mimi ndo nafanya maamuzi ningeweka mazingira rafiki kwa wakulima na wafanyabiashara ili kusiwepo kunyonyana. Mfano kama mkulima amewekeza nguvu zake na ardhi na mfanya biashara akaleta utaalam wake na vitendea kazi kama tractors kwanini hii joint venture isiwe isikubaliwe.
Kama...
huwezi kuthibitisha kesi bila jamhuri kuwa na ushahidi wa daktari. hata kama state attorney angeona ni lazima dr. angeturn hostile kwa nature ya kesi na inavyoattract public interest lazima state attorney asingekuwa na ujanja
pengo mnafiki na mbinafsi ndio maana iliemekana kwa alizuia hata mtangulizi wake Lugambwa kuzikwa DAR. na wengine kutilia shaa namna alivyopata kardinali na namna ambavyoameendelea kuutunza.
mke asiye kwenye ndoa iwapo mwaume akifariki mke huyo anaweza kupata sehemu ya jasho lake kama atapata wakili mzuri na akatengeneza vizuri cause of action.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.