Recent content by Mushobozi

  1. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Waziri Majaliwa apiga marufuku kilimo cha mkataba asema kinawanyonya wakulima

    Ningekuwa mimi ndo nafanya maamuzi ningeweka mazingira rafiki kwa wakulima na wafanyabiashara ili kusiwepo kunyonyana. Mfano kama mkulima amewekeza nguvu zake na ardhi na mfanya biashara akaleta utaalam wake na vitendea kazi kama tractors kwanini hii joint venture isiwe isikubaliwe. Kama...
  2. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Wananchi Mkoa Kagera kuweni makini haya makongamano

    Acha wajaribu
  3. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    faida ya kutoka Toa msaada. heri uwe bairi hata ikilipuka unakuwa kivyako au unajitetea kivyako.
  4. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Very painful
  5. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania IKULU: Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya Pili ya Mchanga. Waliosaini Mikataba Wakaangwa

    Mapendekezo ni mazuri kama yatatekelezeka
  6. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Shule yako mna la kujivunia kutoka kwa watia nia?

    PINDA-MUSOMA HIGH SCHOOL a.k.a Musoma Tech a.k.a Musoma Alliance
  7. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Kwa yanayotokea Burundi, Kuna haja ya kuwa na EAC?

    umeongea kwa hisia kali sana.
  8. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

    huwezi kuthibitisha kesi bila jamhuri kuwa na ushahidi wa daktari. hata kama state attorney angeona ni lazima dr. angeturn hostile kwa nature ya kesi na inavyoattract public interest lazima state attorney asingekuwa na ujanja
  9. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania TEC yamjibu Asha Rose Migiro Kuhusu Kura ya Hapana

    pengo mnafiki na mbinafsi ndio maana iliemekana kwa alizuia hata mtangulizi wake Lugambwa kuzikwa DAR. na wengine kutilia shaa namna alivyopata kardinali na namna ambavyoameendelea kuutunza.
  10. Mushobozi

    JamiiForums Tanzania Mjadala kuhusu Mke asiye wa Ndoa na Mtoto wa nje ya Ndoa kwenye urithi

    mke asiye kwenye ndoa iwapo mwaume akifariki mke huyo anaweza kupata sehemu ya jasho lake kama atapata wakili mzuri na akatengeneza vizuri cause of action.
Back
Top Bottom