Kiukwel huyu mwanamke hana maadili ya kitanzania kwa matendo kama hayo ya kifuska anayo yafanya. Yaani wanawake kama hao hatuwatak nchini kwetu maaana wanaongeza kuporomokq kwa maadili kwa vijana wetu[emoji41][emoji41]
Dillish mathews ambaye anaemekana ndie anammiliki msanii wa bongo fleva Diamond platnumz amezua gumzo mtandaoni baaada ya video yake kuvuja akionekana akiwa na rafiki zake wakifanya mambo ya aibu yenye umri wa zaidi miaka 18
Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma leo ameongea na wanahabari ambapo amesema kwa muda sasa wamemtafuta dereva aliye kuwa anamuendesha Tundu Lissu lakini hawajamuona
Kamanda amesema wameona mtu ambaye amehojiwa na gazeti la mtanzania akieleza akionesha kuwa yupo Dar es salaam
Sent using...
Hivi karibuni huko pande za 254 Kenya kulitokea tukiona la aina yake ambalo liltikisa vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii
Tukio lenyewe ni watu wawili ambao waliaminika wameiba gari na baadae kukamatwa kimiujiza au uchawi huku wakiwa wapo uchi na wamebebeshwa nyoka wakubwa kila mmoja...
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chademe mheshimiwa freeman mbowe amehojiwa na kituo cha BBC akiwa kenye na kuelezea kuwa hali ya mgonjwa (Tundu Lissu) bado ni tete
Sikiliza hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbungu wa nzenga mjini ambaye ni miongoni mwa wabunge wanaotikisa sana katika bunge la jamhuri wa muungano wa tanzania katika kutoa hoja madhubuti ndugu Hussein Bashe leo ameomba mwongozo bungeni kuhoji suala la Tundu lissu kuvamiwa
Msikilize hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimebahatika kuiona video ambayo imesambaa kwa kasi sana mtandaoni ikimuonesha huyo ndugu akitoa mtazamo wake juu ya raisi wa tanzania
Huyo jamaa ametumia lugha ambazo kiukweli ni za uchochezi na uongo kwa kusema raisi anafanya vitu kwa ajili ya track ya vyombo vya habari na kiuhalisia hana...
Miongoni mwa nyimbo ambazo zilikuwa zina subiriwa kwa hamu huku ikipata airtime kubwa ya promo kutoka vituo vikubwa duniani Kama Mtv Base ni wimbo mpya ambao umetoka leo wa patoranking akimshirikisha Superstar kutoka Tanzania Diamond Platnumz
Hiyo ni sehemu ya scene ambayo ameimba diamond...
Katika jamii yoyote upendo hujengwa kwa kuanza na misingi
Licha ya kuwa watu mbali mbali hasaa mitandaoni kuibuka na kuungana kwa kuonesha chuki za wazi juu ya msanii Diamond platnamz .Bado wameshindwa kwa maana Diamond tayari alisha jenga misingi na anapendwa na watu wengi
Katika kuthibisha...
Msanii anaye hit kwa sasa na hit song inayo kwenda kwa jina la seduce me Alikiba amezungumza kwa mara ya kwanza na kufunguka mengi
Alikiba amesema kila mtu anajua ubaya ambao unafanyika juu yake na ndio maana kwa kutambua hilo mashabiki wake wameweza kumuelewa na kum sapoti
Aidha alikiba...
Msanii anaye hit kwa sasa na hit song inayo kwenda kwa jina la seduce me Alikiba amezungumza kwa mara ya kwanza na kufunguka mengi
Alikiba amesema kila mtu anajua ubaya ambao unafanyika juu yake na ndio maana kwa kutambua hilo mashabiki wake wameweza kumuelewa na kum sapoti
Aidha alikiba...
Diamond platunumz amepost katika ukurasa wake wa Instagram huku akionesha ushahidi ambao unathibisha ukweli wa ndoa yao kukaribia
Zarithebossylady ambaye ametoka Afrika Kusini yupo nchini Tanzania kwa sasa
Baadhi ya watu wamekuwa wakieleza kuwa msanii Diamond ndiye msanii pekee Tanzania ambaye...
Wimbo mpya wa alikiba ambao mashabiki zake tume usubiria kwa hamu kubwa huku ukipewa proma kubwa hatimaye umetoka kama hujausikiliza unaweza kuangalia hapa
Unaweza kuangalia alivyo copy na ku paste pia hapa
Lengo la hii thread haswa nataka nimshauri alikiba awe ni mtu ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.