We pambana na hali yako.Achana kabisa na hao jamaa wameona mbali siku nyingi.Wanapiga kazi kwelikweli hakuna maisha ya ujanjaujanja.vyuma kwao havikazi wanafahamu jinsi ya kuvipanga.Kwa hakika Mh.hana kazi kubwa ya kufanya huko Moshi.kama ni shule wanajua,kama biashara wanajua,usafi wa mazingira...
Kwa historia ya amani tuliyoachiwa na waasisi wewetkuliko kuendelea na hii hali inayojitokeza ya kupambana kutaka kumwaga damu ni vema vyama pinzani vikatafakari aidha kuachana na uchaguzi visisimamishe wagombea nchi nzima ili nchi ibaki na chama kimoja kwa ajili ya kuepusha maafa.maana hata...
Wapinzani hawahami.wapinzani wa kweli hawahamii chama tawala kwa kuwa wao spirit yao ni kuhakikisha serikali inafanya kazi ipasavyo.Kiongozi mzuri na anayetaka serikali yake iwe na discipline atahakikisha upinzani unaimarika ili uweze kumwonyesha yale ambayo watendaji wa serikali wanayafanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.