Recent content by mushijohn

  1. M

    Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

    We pambana na hali yako.Achana kabisa na hao jamaa wameona mbali siku nyingi.Wanapiga kazi kwelikweli hakuna maisha ya ujanjaujanja.vyuma kwao havikazi wanafahamu jinsi ya kuvipanga.Kwa hakika Mh.hana kazi kubwa ya kufanya huko Moshi.kama ni shule wanajua,kama biashara wanajua,usafi wa mazingira...
  2. M

    Mdhamini wa waasi wa ADF

    Makamanda wetu tafakuri ni muhimu. Vijana wetu wana weledi ambao unageuka chukizo kwa wenye maslahi yao huko.
  3. M

    Kuachiwa Babu Seya na Wanawe nchi nzima yalipuka kwa furaha, Magufuli ajiongezea credit kubwa mitaani.

    Watu wamelipuka kwa ajili ya mziki waliokuwa wameumiss sio jambo jingine.
  4. M

    Hivi ni kwanini wapinzani wa Tanzania huwa hawasikii wala hawajifunzi?

    Hivi haya yooote uliyoandika yanamsaidiaje mmtz au yanakufurahisha wewe mwenyewe tu ?
  5. M

    PSPF huu ni sawa na utapeli

    Una maana mrisho ndio analipwa pensheni za wwastaafuAu kuna wanaopitia kwake?
  6. M

    Tubadili Katiba iwe ya kifalme. Nchi iwe ya chama kimoja, CCM

    Kwa historia ya amani tuliyoachiwa na waasisi wewetkuliko kuendelea na hii hali inayojitokeza ya kupambana kutaka kumwaga damu ni vema vyama pinzani vikatafakari aidha kuachana na uchaguzi visisimamishe wagombea nchi nzima ili nchi ibaki na chama kimoja kwa ajili ya kuepusha maafa.maana hata...
  7. M

    Kwa mwendo anaokwenda nao Rais Magufuli, upinzani unakufa kifo kitakatifu.

    Wapinzani hawahami.wapinzani wa kweli hawahamii chama tawala kwa kuwa wao spirit yao ni kuhakikisha serikali inafanya kazi ipasavyo.Kiongozi mzuri na anayetaka serikali yake iwe na discipline atahakikisha upinzani unaimarika ili uweze kumwonyesha yale ambayo watendaji wa serikali wanayafanya.
Back
Top Bottom