Hao yebo ndo kiogozi wao bwana RUPIA anasema wameimprove baada ya kukalia kichapo cha 1-0 kutoka kwa Zamalek. Basi hata leo wameimprove kwa kulala 3-1 kutoka kwa Azam badala ya 3-0 kama mapinduzi kule Zenji. YANGA wanashinda kwa kuongea tu,yaani wanachezea mpira mdomoni na sio uwanjani.
<br />
<br />
mkuu utabiri wako n'meukubali;kweli we ni shekh Yahya.Lkn ili yanga wasiendelee kupakatwa itawabidi wakaondoe gundu bungeni hata km hawajashinda
<br />
<br />
nyie ndo wehu kwani km mngetaka kumfurahi demu wenu kwa nini viongozi wenu wawashike TEGETE,KANAVARO na NSAJIGWA kwamba ni wahujumu wa mechi hiyo.Huwa sishangai kwan yanga akipakatwa na mnyama migogoro huwaka huko jangwani
<br />
<br />
Habari zenu bhaaana wanajangwani! Ina majotrooo!MMMBWA nyie aibu imewakumba ndio maana mnaongea km walevi tu;haiwezekani mtani kuliwa daku mzima mzima 2-karai.AIBU kubwa yaan ningekuwa mi ningeshabikia hata LIPULI ya Iringa kuficha hii aibu.
<br />
<br />
YANGA walikalia kipande cha nyama kikazama chote hii ni zaidi ya kupakatwa.Ajabu ni kwamba daktari wao SAM TIMBE amewapima na kuona kuwa mimba ishatungwa tena mapacha 2 na kuwahakikishia mashabiki wake kuwa wasubiri tu kuzaliwa kwa watoto hao.
Mkubwae yanga kakalia kipande cha nyama kikazama chote na daktari wao SAM TIMBE ameipima mimba na kuhakikishia mashabiki wake kuwa mimba hiyo ishaatungwa na wasubirie tu kupata watoto mapacha 2 lkn hakutaja ni lini watoto hao watazaliwa.
<br />
<br />
mkuu umeona maneno yako yalivyokugeuka?Nshakueleza kuwa hao wauza madafu wa jangwani ni lazima wakubali kutiwa mimba isiyotarajiwa tena ya mapacha 2. Mtajifunza kunyamaza;hamna adabu tena mbwa nyie!
YANGA watiwa MIMBA YA MAPACHA 2 isiyotarajiwa.Swali ni kwamba;Wanamfahamu huyo kidume aliyewatia hiyo mimba ili achukuliwe hatua za kisheria?Cha kusikitisha zaidi ni kwamba LUIS SENDEU afariki ghafla baada ya kusikia habari hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.