satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 170
Bangi wenzao huwa wanavuta siku moja kabla ss wao wamevuta muda mfupi kabla ya mechi then ukimzingua mtu kama huyu lazima akutwange magumi tu,yanga shame upon you ingekua ni EPL mngekaa nje mwaka mzima mjifunze adabu,TFF fanyeni maamuzi magumu hii haikubaliki katika tasnia ya michezo wenzetu ulaya refa hata akiboronga mwisho wa siku wanapeana mikono then sheria inafuata mkondo wake