Huyu jamaa mshamba sana. Aliposhinda tu ubunge akaanza kuwapigia simu wanawake( inaoneakan wale waliokuwa wamempiga chini na sura lake zito) na kuwaambia eti "wewe sasa lazima nikutafune" BURE KABISA
Hana jipya mkimbizi huyu. Amebaki kubwabwaja tu. Ok, hata kama aliombwa miaka 40 iliyopita, inatusaidia nini saa hizi? Mrudisheni kwao Burundi mchumia tumbo huyu
Haingii akilini timu iliyoshinda mchezo nyumbani wizara na chama cha soka wameshindwa kuhakikisha timu inakwenda Libya!.
Hakika ningekuwa na mamlaka ningemwajibisha waziri mwenye dhamana kwa hili na namwomba Rais na waziri mkuu waliangalie kwa mapana jambo hili. Wajibisheni hawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.