Ili kuinyesha hamuendeshwi na hisia, ni vizuri mkatoa na ushahidi kuwa ali-influence price za nyumba. Kitu muhimu cha kujua ni kuwa zile nyumba zinapojengwa ni kwa ajili ya uwekezaji and not otherwise si kuziuza haraka ni moja ya criteria muhimu kwenye viability ya investment.
Sent using Jamii...
Labda mkuu tuanze kwa kueleweshana kidogo, nini maana ya mgongano wa kimaslahi (conflict of interest). Hivi kununua bidhaa kutoka kwenye kampuni au taasis unayofanyia kazi au kuiongoza kunapelekea mgongano wa kimaslahi!?
Kwa hiyo kwa mfano leo Ali Mufuruki ambae ni Board chair wa Vodacom...
Nyinyi ni Taasis kubwa, haipaswi kuwapa wateja majibu ya kipropaganda. Ni vizuri mkawa mnajiridhisha kabla ya kutoa majibu kama haya. Issue ya kununua luku ni tatizo mpaka dakika hii ninapoandika hapa.
TANESCO SHIRIKA PENDWA MNATUANGUSHA SANA.
Kuhusu kusafirisha mizigo kwenda Dodoma, ni rahisi. Chukua mizigo yako mpaka kariakoo mtaa wa Muheza na Natung'ombe, pale kuna transporter wa uhakika na bei ni nafuu sana. Unaweza kuwapigia kwa namba hii mka-bargain kabisa. Namba zao ni 0628 923 514, 0714 093 477.
Mkuu uzi wako ushaharibika. Naona kuna ushabiki kati PSPF na LAPF so hakuna ishu itakayokuwa addressed. Mi nilidhani kutakuwa na great thinkers ambao wangeona concern ya PSPF na wanachama wake pamoja na future ya Social Security nchini ila naona hao pro PSPF wenyewe ni mihemuko tu.
Unqualified Opinion
In my opinion, the financial statements present fairly, in all material respects, the Net Assets available for benefits of Public Service Pension Fund as at 30 June 2015 and its Changes in Net Assets Available for benefits and Cash flows for the year then ended in accord the...
Povu jiingi alafu hautakatishi nguo. Angalia usijiaibishe, Issue ya Deficit ya Tril. 11.5 imetolewa na kwenye Financial Statements za PSPF zilizoidhinishwa na Bodi. Later on imekuwa-cited kama emphasis of matter kwenye CAG opinion. Sasa kama Financial Statement zilizoandaliwa na Menejiment na...
PUBLIC SERVICE PENSIONS FUND
62
AUDIT REPORT ON THE FINANCIAL STATEMENTS
To:
Mr. George D. Yambesi
Chairman to the Board of Trustees
Public Service Pensions Fund
13thFloor, Golden Jubilee Towers, Front Tower
Ohio Street
P.O. Box 4843
Dar es Salaam
RE: REPORT OF THE CONTROLLER AND AUDITOR GENERAL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.