Tutashindwa kusafiri jamani madereva ongezeni umakini na kujua potential ya watu walioko kwenye mabasi angalieni wajane wangapi yatima wangapi na vilema ambao watakosa msaada na kuliongeza taifa kwenye umaskini
Ki biilogia hakuna mahusiano ya moja kwa moja ya jina na tabia ya mtu but kulingana labda na tabia ya watu wawili au watutu wenye majina sawa na ndipo hapo watu wanajumuisha kuwa jina na tabia vinaendana but not true unaweza ukaitwa yuda afuu usiwe msaliti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.