Recent content by MURUSI

  1. MURUSI

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mitumba inayopita Bandari ya Dar haina ubora, ni michafu, imechakaa, ni tofauti na ile inayopitia Nairobi, kuna kitu hakipo sawa

    Hii ni kweli, Kuna Mkenya ananiuziaga Suruaji za Jens ananitumiaga yaani aisee ni gred sana ingawa na bei yake imechangamka sana make inaaziaga 30,000, na kuendelea ila ni quality haswa.
  2. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Dangote aichagua Kenya badala ya Tanzania kuanzisha kiwanda kikubwa cha kusafishia mafuta

    We mjinga sana kwani Land locked Countries hazina viwanda vya kusafishia mafuta? Alie kyambua lazima kiwanda kijengwe bandarini ni nani?
  3. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kuhusu PIXIE ORANGES

    Mueleze huyo Mjinga, nchi hii imejaa sana watu wajinga, sijui kwa nini?
  4. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Natafuta mbegu za matango pori

    Matango pori ndio yapi hayo? Weka picha
  5. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madereva wote tarehe 01/07/2026. Wana madai ya Msingi

    Kwenye mshahara hapo kwani wanaendesha magari ya Serikali? Kwa nini wananendesha kama mshajara ni mdogo? Waache ujinga
  6. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya AFCON kwamba yataleta Neema Tanzania ni Propaganda kubwa sana. Hakuna kitu kama hicho

    Nawasikiliza sana wanasiasa wanavyo hadaa Wadanganyika kwamba wajiandae sana na Afcon na hata Mahoteli hayatatosha na wlmashabiku wengine watalala majumhani mwa watu. Hizi ni propaganda. Hizi ni propaganda za kijinga sana. Tujiulize swali rahisi sana Tanzania ilipeleka mashabiki kiasi gani...
  7. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Watanganyika tunapenda kupinga kila kitu, tunaamini tu vitu vya wazungu ama Wachina
  8. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Wahi Shamba zuri sana linauzwa lipo Kisarawe

    Bei ni siri? African Business,
  9. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Makonda anautaka sana Uwaziri wa Mali Asili na Utalii. Mabdailiko yajayo huenda ikawa hivyo

    Ma consultance wa Makonda hawalali yaani wana kesha usiku kucha kumpa Makonda mbinu. Makonda kaambiwa Mali asili na utalii ndiko hasa panamfaa ndiko kwenye mafuta, na ili aingie huko aanze kufanya harakati mbazo mnaziona kwa sasa hivi. Hao wastafu wa Soka anao waleta sio kwa lengo la michezo...
  10. MURUSI

    JamiiForums Tanzania LATRA Arusha ni wameshindwa kusimamia Daladala kuhusu kujipandishia nauli kiholela?

    Hawa LATRA Arusha ni kama wana share kwenye vyombo vya usifiri au kuna bahasha wanapitiziwi ili wakae kimya. Nauli mpya zimeanza kutumika mei mosi, ila cha ajabu Arusha ndio sehemu pekee Dalaladala wana kiwamgo chao cha nauli nje ya nauli zilizo tolewa na LATRA na mbaya zaidi LATRA wapo...
  11. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Hakuna Serikali yoyote Duniani yenye kuwaza future bora ya Raia wake inayo promoti Uchuuzi/Umachinga/Uwinga. Only TZ

    Hakuna hata kwa nchi za Kiafrica Serikali inayo promote Uchuuzi, ni Tanzania pekee ndio kuna hii Sera ya kupromote kwa nguvu sana uchuuzi/umachinga Serikali zote Duniani zinatamani Raia wao wajikite kwenye uzalishaji, zina piga sana vita uchuuzi ingawa upo ila sio Sera ya yao. Serikali zote...
  12. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Samia Yafungua Anga la Tanzania Kwa Kujenga Viwanja vya Ndege Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar

    Accra Ghana kuna nini huko? hizi ni njia ambazo baadae kwenye report tunaambia hasara, wenzako wana njia zile za pesa mingi kama njia za Ulaya na Marekani nyie mnakomaa na njia za kimasikini
  13. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Mkuu wekeza kwenye mazao ya kilimo cha chakula hata hasa ya mda mrefu, Hizo mikonge zina altenative nyingi sana, demand yake sio kivile, Chakula hakina mbadala wake. Ila iwe mazao ya mda mrefu
  14. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Kijana wa kusimamia shamba la mifugo na kilimo yupo

    Kijana wa kazi/Shamba boy wa kwanza kuijua Jamiiforum. Hongera
  15. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kutoweka kwa ndizi Bukoba (matoke) Mkoani Kagera, Je, Wizara ya Kilimo ina mikakati ipi?

    Kilimo ni Biashara, Sasa jiulize watu huko hawaoni gaida kulima? Mbolea inaweza fuatwa hata Kahama kama mtu anataka kuwekeza kweli, tupunguze mindset za ujamaa,
Back
Top Bottom