Recent content by MURUSI

  1. MURUSI

    Hakuna Serikali yoyote Duniani yenye kuwaza future bora ya Raia wake inayo promoti Uchuuzi/Umachinga/Uwinga. Only TZ

    Hakuna hata kwa nchi za Kiafrica Serikali inayo promote Uchuuzi, ni Tanzania pekee ndio kuna hii Sera ya kupromote kwa nguvu sana uchuuzi/umachinga Serikali zote Duniani zinatamani Raia wao wajikite kwenye uzalishaji, zina piga sana vita uchuuzi ingawa upo ila sio Sera ya yao. Serikali zote...
  2. MURUSI

    Serikali ya Samia Yafungua Anga la Tanzania Kwa Kujenga Viwanja vya Ndege Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar

    Accra Ghana kuna nini huko? hizi ni njia ambazo baadae kwenye report tunaambia hasara, wenzako wana njia zile za pesa mingi kama njia za Ulaya na Marekani nyie mnakomaa na njia za kimasikini
  3. MURUSI

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Mkuu wekeza kwenye mazao ya kilimo cha chakula hata hasa ya mda mrefu, Hizo mikonge zina altenative nyingi sana, demand yake sio kivile, Chakula hakina mbadala wake. Ila iwe mazao ya mda mrefu
  4. MURUSI

    Kijana wa kusimamia shamba la mifugo na kilimo yupo

    Kijana wa kazi/Shamba boy wa kwanza kuijua Jamiiforum. Hongera
  5. MURUSI

    Hatari ya kutoweka kwa ndizi Bukoba (matoke) Mkoani Kagera, Je, Wizara ya Kilimo ina mikakati ipi?

    Kilimo ni Biashara, Sasa jiulize watu huko hawaoni gaida kulima? Mbolea inaweza fuatwa hata Kahama kama mtu anataka kuwekeza kweli, tupunguze mindset za ujamaa,
  6. MURUSI

    Tetesi: Yadaiwa Abdul and Company, amepewa eneo la mnada wa Karatu ajenge Hoteli ya kitalii, Mnada unahamishwa

    Republic of Gangster, then Vikama wanangoja wazee ndio wawapiganie. Wakina Waryoba walisha maliza kila kitu, Sasa nyie kaeni mkingoja sijui Butiku au Warioba wawatetee,
  7. MURUSI

    Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    Una mtaji? Hii kitu kwa nje huonekana ni kitu rahisi cha kufanywa na kila mtu, Ila kama huna mtaji wa kutosha hutaweza, utaishia kuanza kuuza mbegu na kutoa elimu watu waje kununua mbegu kwako.
  8. MURUSI

    Ushauri: Programu nzuri ya usimamizi wa biashara

    Ndio Mengi alitumia na kuwa Bilionare?
  9. MURUSI

    Unajisikiaje wewe ni bingwa wa post za Mabadiliko humu, ila kule bushi ndugu na jamaa ni mtaji mkuu wa wana siasa?

    Ukweli mchungu sana, humu wengi wa ndugu zetu ndio mitaji ya wanasiasa.
  10. MURUSI

    Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Ni kitu gani sasa kirahisi cha sisi Watanzanua cha kufanya? kufanya Betting? make kila kitu ni hakiwezekani, kuna ugumu wake kipi kina wezekana?
  11. MURUSI

    Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Mbegu za sili ni zipi? mahindi yaliletwa kutoka Mexco kwa mfano, Machungwa yote yaliletwa, mbegu za asili ni zipi unazungumzia? na wewe unajiita umeenda shule?
  12. MURUSI

    Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Machungwa za Africa kusini ni ghari sana fanya utafiti
  13. MURUSI

    Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Jenga hoja kiume sasa shamba yake inakuhusu nini? Punguza ujuaji huwezi kujenga hoja kaaa kimya make kujega hoja kwa Watanzania wengi ni shughuri pevu sana.
  14. MURUSI

    Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Kaleta hoja jadili hoja yake mashamba yake yanakuhusu nini wewe?
  15. MURUSI

    Unaweza kutengeneza zaidi ya Milion 37 kwa hekari 1 kwenye kilimo cha Pixie Oranges

    Punguza ujuaji naona una mambo ya kibinafisi na mleta mada
Back
Top Bottom