Recent content by MURUSI

  1. MURUSI

    Uongozi ni utayari na wito

    Nalaumu sana mfumo wa elimu yetu, Badala ya kutrain mind ku think tuna karirishwa tu. Nina uhakika ungepata elimu bora usingekuwa unafanya uchawa, nalaumu sana mfumo wa elimu
  2. MURUSI

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    consultancy Firm hawatoi elimu ya oesa, elimu ya pesa inapatikana kwa kusoma kama tunavyo soma elimu za Mazingira, Afya, mambo ya Ukimwi na kadhalika. Elimu ya kifedha ni pana sana
  3. MURUSI

    Biblia zenye maudhui ya Ushoga zadaiwa kuingia nchini

    Ushoga ni Tabia sio Bible wala promo, Huko Marekani kwenyewe mashoga ni % ndogo sana ya pupulation
  4. MURUSI

    Kipi kinasababisha barabara za New York kuwa na hali mbaya?

    Kwenye forum zao Wamerakani wengi sana wanalalamikia miundombinu hasa Barabara na pia majiji yao kujaaa wala unga homeless.
  5. MURUSI

    Ni kitu gani kinasababisha usiku mitandao ya internet inakuwa na spidi ya konokono?

    watu wamekuwa wamelala, mchana ile minara inalemewa na watumiaji na usiku wengi wanakuwa wamezima data
  6. MURUSI

    Shilingi ya Kenya inaimarika sana dhidi ya Dola ya Marekani. Vipi kuhusu Shilingi ya Tanzania?

    Post kama hizi ni ngumu, siku nyingine njoo na post za porojo za kisiasa, uzushi ikishindikana sana post inayo husu Yanga na Simba.
  7. MURUSI

    Wabunge waliojiongezea mshahara hawajamchangia Rais Samia fomu. Walimu wanao lipwa pesa ya pipi wanamchangia fomu

    Enzi za Ukoloni Wafanya kazi walipigania uhuru kwa katiba mbovu ya kikoloni, shida ni sio katiba shida ni uzezeta
  8. MURUSI

    Assimilation policy ya wanasiasa kuelekea uchaguzi mkuu

    Assimilation policy ni policy ilio sana tumiwa na Wareno na Wafaransa kwenye makoloni yao na wajuvi wa Historia wanasema ilifanikiwa sana. Sasa Bongo kila uchaguzu ukikaribia ni lazima wanasiasa waanze kuitumia ili kuwahadaa wajinga kwamba they are the same. Ukiona First lady wa zamani...
  9. MURUSI

    Makamu wa Rais kutishia kujiuzulu: Kuna shida mahali!

    anacheza na akili za wajinga, nchi ina wajinga asilimia 80
Back
Top Bottom