Hakuna hata kwa nchi za Kiafrica Serikali inayo promote Uchuuzi, ni Tanzania pekee ndio kuna hii Sera ya kupromote kwa nguvu sana uchuuzi/umachinga
Serikali zote Duniani zinatamani Raia wao wajikite kwenye uzalishaji, zina piga sana vita uchuuzi ingawa upo ila sio Sera ya yao.
Serikali zote...
Accra Ghana kuna nini huko? hizi ni njia ambazo baadae kwenye report tunaambia hasara, wenzako wana njia zile za pesa mingi kama njia za Ulaya na Marekani nyie mnakomaa na njia za kimasikini
Mkuu wekeza kwenye mazao ya kilimo cha chakula hata hasa ya mda mrefu, Hizo mikonge zina altenative nyingi sana, demand yake sio kivile, Chakula hakina mbadala wake. Ila iwe mazao ya mda mrefu
Kilimo ni Biashara, Sasa jiulize watu huko hawaoni gaida kulima? Mbolea inaweza fuatwa hata Kahama kama mtu anataka kuwekeza kweli, tupunguze mindset za ujamaa,
Republic of Gangster, then Vikama wanangoja wazee ndio wawapiganie. Wakina Waryoba walisha maliza kila kitu,
Sasa nyie kaeni mkingoja sijui Butiku au Warioba wawatetee,
Una mtaji? Hii kitu kwa nje huonekana ni kitu rahisi cha kufanywa na kila mtu, Ila kama huna mtaji wa kutosha hutaweza, utaishia kuanza kuuza mbegu na kutoa elimu watu waje kununua mbegu kwako.
Mbegu za sili ni zipi? mahindi yaliletwa kutoka Mexco kwa mfano, Machungwa yote yaliletwa, mbegu za asili ni zipi unazungumzia? na wewe unajiita umeenda shule?
Jenga hoja kiume sasa shamba yake inakuhusu nini? Punguza ujuaji huwezi kujenga hoja kaaa kimya make kujega hoja kwa Watanzania wengi ni shughuri pevu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.