Nalaumu sana mfumo wa elimu yetu, Badala ya kutrain mind ku think tuna karirishwa tu.
Nina uhakika ungepata elimu bora usingekuwa unafanya uchawa, nalaumu sana mfumo wa elimu
consultancy Firm hawatoi elimu ya oesa, elimu ya pesa inapatikana kwa kusoma kama tunavyo soma elimu za Mazingira, Afya, mambo ya Ukimwi na kadhalika. Elimu ya kifedha ni pana sana
Assimilation policy ni policy ilio sana tumiwa na Wareno na Wafaransa kwenye makoloni yao na wajuvi wa Historia wanasema ilifanikiwa sana.
Sasa Bongo kila uchaguzu ukikaribia ni lazima wanasiasa waanze kuitumia ili kuwahadaa wajinga kwamba they are the same.
Ukiona First lady wa zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.