Mkuu kuna hizi watu walikuwa ppf alafu wakahamishwa nssf kwa mashirika binafsi hivyo unakuta kule ppf walichangia zaidi ya hiyo miaka 15 alafu huku nssf anakama miaka minne alafu kulikuwa na deal ppf watu wakachukua hela yao yote wakabaki za nssf ila hawakupewa na riba swali langu ni je...
Mimi Nina mwanangu kapata division one ya 14 combination ya science form four Ila aliomba chuo .wamempangia kusoma nursing na yeye hataki chuo cha same yeye anataka clinical medicine na hicho chuo alichopangiwa hakina clinical medicine.aliomba kcmc akapata pharmacy Ila sasa Ada yake ikawa...
Naomba kujua kama kuna taasisi yoyoto ya Serikali inayosimamia (oversight) hizi microfinance kwani Kuna moja naona inatuibia hasa kwa kuwa ina mikataba ya pande moja yaani wakikusainisha mkataba hawakupi muda wa kuusoma na pia copy yako ya mkataba hawakupi, interest kubwa kwa mwezi na...
Mimi mtoto wangu kafaulu vizuri ni wa kike kapata div 1 ya 14 combi ya science ila nilitaka aende 5 kwa kuwa yy alitaka Kuwa doctor. Ila selection iliotoka kachaguliwa kwenda chuo nursing cha same naomba kuuliza abadilishe course aombe pharmacy kwenye chuo kingine au clinical au engineering au...
Hata mimi wangu kafaulu vizuri combi ya science na alitaka clinical medicine ila kachaguliwa nursing na midwife kwenye chuo ambacho hakukichagua Sasa sijui tufanyeje. Ila Kuna mdau kaniambia naweza fanya application on line kwenye vyuo vya serekali vinavyo offer diploma in clinical medicine kwa...
Anaitwa bodea na kwelii kapungua Sanaa ila picnic hata waisemaje miaka yote inajaza. Siri kubwa ni wahudumu walivyo Kwanzaa wamefungasha, mavazi yenyewe hivyo visketi vifupii usiombe alafu wengi kwa muonekano wazuri na huo ndio ugonjwa wa wanaume wengi walevi hivyo kukosa wateja sahau pale Kuna...
Mimi binti yangu kapata div one ya 14 combination ya science naomba ushauri Kuna wanaonishauri aombe vyuo ili apige diploma ya clinical alafu baadaye akipata ajira apply degree ya medicine au engineering hivyo hivyo na kunawengine wananiambia nimuache aende five na six ila kunakutoil Sana kwenye...
Wakuu naomba msaada simu yangu Huawei Y7 2018 prime imekataa kufungua app zote za Google na ku sync data pia kila nikiingiza email yangu ya account ya Google na password inakubali ila inaleta error ya we can not find an eligible device. Msaada plse kwa anayejua. Cc chief mkawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.