Recent content by Murro

  1. Murro

    Almasi ya Bilioni 32 inayodaiwa kukamatwa Uwanja wa ndege Dar ni Uongo wa karne!

    Chuki na wivu ni tatizo, hisia hasi tulizonazo juu ya watu zinatuondolea ufaham, kumbe hoja pinzani ulizonazo sababu jamaa yupo kona nyingi...? Inawezekana hata kwako pia, ni interest tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Murro

    Mahusus kwa kidato 5 na 6 na secondary wote kiujumla yaan 1-4.

    Nichek whatsup 0685080753 Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
  3. Murro

    Mahusus kwa kidato 5 na 6 na secondary wote kiujumla yaan 1-4.

    English A_level shing ngapi?
  4. Murro

    Hii ndiyo Sheria ya Jamhuri inayompa RC nguvu ya kumuita mwananchi yeyote anayeishi mkoa wake!!

    Napenda kuuliza pia, ikatokea raia mmoja kaitwa na wakuu wa mikoa wawili kwa wakati mmoja nini raia huyo atafanya? Na sheria inasemaje kwa mazingira kama hayo...? Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
  5. Murro

    Tujiulize Pamoja! Ni Coincidence au MUNGU Ameongea?

    Inasikitisha sana kama sisi wananchi wenyewe tutawatetea wezi tunasahau kua kamati zilitumia pesa kufatilia waliokula pesa za escrow leo tunaanza kutetea ujinga, na kama hautambui mchango wawatu kama akina Kafulila bungeni katiba kutuwakilisha wananchi inabidi ukapimwe akili kwa vyovyote...
  6. Murro

    Chama kipi ni kambi rasimi ya upinzani? je CHADEMA imetoka?

    Mnataka kusema kabla ya huu uchaguzi cuf walikua na wabunge wangapi..?
  7. Murro

    Enyi wasanii wetu haki na amani huwezi kuvitenganisha

    Yeah, wanalia na amani, wakitutaka tuitunze wanasahau kulia na haki ambayo ni chanzo kikuu cha hiyo amani, hadharani wanahubiri amani, spring wanaivunja amani kwa kutunyima haki yetu....
  8. Murro

    Mke wa Mtikila ataka iundwe Tume kuchunguza kifo cha mumewe, Lowassa, Sumaye na Mnyarwanda watajwa

    Kwa kawaida vifo vingi vya ghafla ukifatilia hua vinatokea katika hali ambayo inakua ni yakushangaza thats why there is an ultimate who is Almighty sasa kama mtu zake zimefika anaweza kufa katika hali yeyote ambapo kwa wakati mwingine watu hua ni ngumu kuamini, kama hatutataka kuamini ripoti ya...
  9. Murro

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Kwaiyo huwa tunafanya makosa hapa kijweni kwetu kila siku huwa tunakua nyomi sana kudiscuss issues, tunaangalia mpira lakini huwa hatutafuti kibali, lakini hii nchi ilishakua huru mbona mnatuletea mambo ya kikoloni..? Kiroo safi tu, tunapiga kura, mita 200 nyuma tunaweka kambi kwaamani kabisa....
  10. Murro

    Kwanini habari za Mgombea Urais wa CHADEMA zinaonekana kuwagusa makundi ya watu wengi?

    Sisi ni malofa tulifundishwa na mzee wetu ccm anayeelekea kufa mda si mrefu, yeah nimekumbuka ulofa tulioufanya kwa EDO serikali ya ccm iliufanya alipokuja OBAMA kwani tulideki jiji letu na kulipiga major fresh kisa raisi wa marekani sasa kwanini raisi wetu mtarajiwa lowassa...?
  11. Murro

    NEC, hili ni bao la mkono?

    Kwa ufafanuzi huu nimeelewa sasa, nilikua najiuliza sana tuhuma kama hizi za kujibiwa haraka na tume kwanini hua zinacheleweshwa kujibiwa, Tume inapaswa kuwapongeza sana Ukawa, kwani ni sawa na darasani mwanafunzi anayependa sana kumuuliza maswali mwalimu wake hapaswi kuchukiwa zaidi huyo...
  12. Murro

    Chanzo cha kuvurugika kwa mdahalo kwa ugombea ubunge Jimbo la Iringa Mjini

    Kwa kawaida ccm hua wanawaogopa sana wapinzani huwa hawana uwezo wa kujenga hoja, na hatuwashangai kwani ndivyo walivyolelewa na Chama Chao, sasa sikuiz wanajifanya wanataka midahalo ili waanzishe kashfa kuwatia watu hasira mwisho wa siku wanasema watu wa ukawa ni wakorofi....
  13. Murro

    Fisadi Mkuu wa Richmond yuko CHADEMA au yuko CCM?

    Natamani hizi nondo zako mkuu ukawa wangezitumia tare 22oct tuwamalize kabisa wafunge midomo, ni maswali ya msingi sana unapojadili kuhusu richmond, Ukawa tumieni hii nondo tar22octb tukachukue ikulu kirahisi....
  14. Murro

    Twiga wanaoonekana kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni twiga wa Tanzania, Si kweli

    Ni kawaida yenu tushawazoea, hata zile za ESCROW mlisema sio za kwetu...
Back
Top Bottom