Recent content by Murete

  1. Murete

    Akutwa amekufa kanisani kwa Gwajima

    Mwenye nacho huongezewa, asie nacho hunyang'anywa hata hicho kidogo alonacho. Akili kumkichwa.
  2. Murete

    Barabara yatengenezwa baada ya ziara ya Mhe. Gambo, jijini Arusha

    Habari za leo wakuu, Jana Mhe. Mrisho Gambo, mkuu wa mkoa wa Arusha alitembelea Ngaramtoni kwa ziara ya kikazi. Mi naomba Mhishimiwa uwe unakuja kuja huuku ili tuwekewe lami kabisa. Maana kuja kwako ndiyo mafanikio yetu. Afu ukija kuna nyama choma tamu sana. Njoo tena Rais wetu No Pain, No Gain
  3. Murete

    Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

    Huyu amepata matumaini ya dawa mkuu. Ndio maana hana wasix2. Lakini pia, watu tunatofautiana kuhimili maisha baada ya kupima +ve vvu. Kuna namna tunayumba na kubadili lifestyle. VVU ni mpango mmbaya sana wa mashetani weupe, kutumaliza. Kuukwepa hayitaji baraka za M/Mungu na si vingine. No...
  4. Murete

    Kabla ya kuoa chunguza hivi viungo

    Mkuu nimependa jibu lako zuri kabisa. Ila... Mi ni 'ke & nakupa maneno flani ya busara nlopata kuambiwa na mzee nnayemuheshimu. Alisema hivi "kuoa/kuolewa ni biashara kubwa na huhitaji watu makini kufanya biashara hii, hivyo kama zilivo biashara nyingine huanzi kumpenda business partner ndio...
  5. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Tuungane kwenye hili kama Taifa watanzania wenzangu. Tuwe wamoja kwani ni maslahi yetu hayo.. Haina haja ya kupinga. Sii bure tuliitwa "MALOFA". Ndio naelewa sasa. Yani katika mambo ya msingi kabisa yanayohusu Taifa watu wanaleta ubishi usio na tija, kama c "ULOFA" itakua nn?
  6. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Kila mtu hula urefu wa kamba yake. Hata ww ungepewa mwanya ungepiga saizi yako. Cha msingi saivi ni kushinikiza mabepari watulipe chetu. Hayo mengine hayatuhusu, azawais ni wivu tu!
  8. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Ya kale yamepita, tugange yajayo
  9. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Hizo ni fikra potofu kwa muda huu.. Kwani Chato sio TZ? Wivu ni kidonda,........................
  10. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utoe kwa mwingine. Chuki na visasi vipo ndani yako. Maandishi yako yanadhihirisha hilo!
  11. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Duh! Mkuu hata baba anakosea lakini haombi msamaha direct. Ataomba kwa vitendo. Tumsapoti kwani hii ni mali yetu sote. Sasa tukimsusia ndio tunafaidika nini?
  12. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    "Usigeuke nyuma, utakuwa jiwe la chumvi!" hayo ni maandiko kutoka kwenye biblia... Ukisema tunawalipa viongozi ili kutuletea maendeleo na wameshindwa, je wewe mlipa kodi umemuajibishaje huyo kiongozi wako? Kukosea si kosa, bali kurudia kosa. Tuweke tofauti pembeni tujumuike sote kudai chetu...
  13. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Hamasisha viongozi wako wa mkoa tuingie barabarani na mabango mpaka tulipwe chetu. Na pia mikataba iangaliwe upya
  14. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Ndio tuanze kuonyesha huo uzalendo kwa kuungana tuwe kitu kimoja kudai chetu. There's always a starting point in life. Hata ww ulianza kuwa yai kabla hujazaliwa.
  15. Murete

    Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

    Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT)
Back
Top Bottom