Tulipo maliza season ya bombadia,,,sasa hivi tuko kwenye season mpya inaitwa faru john,,!na tuko epsod 4,ambapo kaburi lake imesadikika kuwa halipo,tusubiri epsod ya 5,tujue nani mkweli kati director na waigizaji...!!tutafika tu 2020,,!!
Mkiambiwa mfanya uzinzi ujanani.ili mje mtulie na wake Zenu mnajifanya mnauchungu sana maisha mkisha pata kidg tu mapenzi yana anza kuwapelekesha kama gari bovu.haya sema huyo Dada in kabila gani nikupe dawa.na Sikh zote INA takiwa mwanaume amshike mwana make.nasio kinyume cha apo
Acha uongo ss wana kahama ndio wamuzi wa mwisho. Na hii ngoma magamba nyie hamchomoki hapa kahama.....!!! Ww kula za kishimba alafu pita hiviiiiii.....!!!!! Tukutane October..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.