Recent content by muntwamwasorwe

  1. M

    Majibu Kura ya Maoni isiyo Mizengwe

    Kaka, nikupongeze kwa wazo zuri sana. Familia yangu yote imeafiki na tuko tayari wa kura hii. napendekeza tuvae nguo nyeupe siku hiyo!!!
  2. M

    Future ya CCM baada ya Lowassa kung'oka

    Mzee Wangu, Hawa jamaa ni sikio la kufa,, hawasikii wala hawaambiliki. wameshauriwa sana ... wapi. sasa hakuna namna nyingine, ni kuwatupa tu kama jongoo na mti wake.
  3. M

    Mbunge wa Kahama kupitia CCM, James Lembeli ajiunga na CHADEMA rasmi

    walisema ingekufa...chadema, 2014. aseee ina afya njema hiyo, hadi raha. walisema hivyo, kumbe hawana maadili mmaana waliishia huko,, ha ha ha!!!
  4. M

    Wazazi wa mke wangu wamehamia kwangu kabisa, nyumbani hakukaliki

    Hivi inakuwaje hiyo hali inafikia hapo,, miaka 4 upo tu unatazama!! hii ndoa ni yako au ya wazazi, inaonekana ulishauriwa uoe na sio maamuzi yako. simama kama mwanaume, usisikilize upuuzi wa mke eti hataki kusikia habari za wazazi wake kuondoka.asee, bora aondoke na wazazi wake. wacha nidhamu ya...
  5. M

    Kigogo wa CCM: Lowassa anafanya kampeni

    mmeilea hii kansa , sasa inawatafuna. haitibiki tena. hakuna wa kumzuiani wala kukata jina lake. bora mjiunge naye tu, maana mmeshindwa kumng'oa.
  6. M

    CCM kwaiva: Kama si Salim ni Mwandosya

    yaani CCM ya Mwaka huu ni kama chama cha ADC, chama kichanga. haiingii akilini kwa hofu ya uchaguzi waliyonayo utafikiri sio chama kikongwe. kinafanya mambo kwa kificho na kwa hofu kuu.
  7. M

    Jaji Mutungi,usisahau barua yako

    Mutungi ana ngozi ngumu sana. ingekuwa mtu mwingine hata mwaliko asingekubali.
  8. M

    Uchaguzi mkuu BAWACHA kutoka Mlimani city

    yaani kama anayechaguliwa sio chaguo lako, inakuwa nongwa? asee, wee kijana si bure unatumika vibaya.
  9. M

    Ben Saanane sasa kugombea ujumbe wa Kamati Kuu CHADEMA

    ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
  10. M

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Viongozi wa BAVICHA Taifa - Mlimani City, Dar

    safi sana. cdm ni mfano bora wa chama cha kidemofrasia
  11. M

    Kikwete: Mazungumzo yangu na vyama vya siasa yamekwenda Vizuri!

    mzee tupa tupa ulipotelea wapi? au walikuziba mdomo, maana lumumba hamuaminiki.
  12. M

    Kwa hili Lissu umenikera sana

    na wao wakatafuta mbinu za kuukwamisha mchakato baada ya LIssu kuwazidi maarifa ya kuondoa nguvu za Rais kuingilia mchakato.
  13. M

    Najuta tamaa mbaya

    wee utatongozaje mtoto wa mpangaji aisee. ngoja mkeo aje ayakute ndio utapata akili. ni bora ung'wenye mbali kuliko mumo humo.
  14. M

    Wanafunzi wa kike wa UDSM.......

    Umenena vema Mzee TupaTupa. UDSM ni chuo chenye heshima zake, asilete tamaa zake hapa kwa kisingizio cha dada zetu kwamba wanajiuza.
Back
Top Bottom