Nadhanini vyema ukatengeneza create account page iwe na registration number na password. Then anposubmit unakweli database unaangalia kama kasajiliwa, kama kasajiliwa unaadd password field ambayo mwanzo ilikua empty. MySQL inahitaji schema iwe planned in advance tofuti na no SQL
Ni ya zamani kwenye backend, languages nyingi mpya huwa zinajaribu kusolve some problems that other din't do well. Pyhton, Go, Dart na NodeJS sinafanya vizuri, ila PHP being old imetumika Sehemu nyingi sana ndio maana kuwa replaced kirahisi inakua ngumu
HTML,CSS na JS ni core technologies kwenye web development. Sasa kusoma JS sio option ni lazima kama unataka kuwaweb developer. Faida moja wapo ya JS inatumika kote front-end and backend Ila ecosystem ya JS inaumiza sana usipokua na umakini utakata tamaa, JS ina framework na Library nyingi mno...
Elezea vizuri ili watu wapate kuelewa na kukusaidia. Unataka form uiweke wapi au unataka kutengeneza form then iwe hardcopy
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshatengeneza website tayari then unataka domain name Au ndio unataka kutengeneza website? Kuna uzi nimeandika kwa title web development unaweza kukufaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana Jamvi! I am a self taught fullstack Web and mobile developer, using JavaScript front-end and backed. Kwa wale wanaotaka kujifunza web development for fun or career. Nitaanza kutoa darasa bure kabisa kupitia posts kama series kupitia web application yangu ninayoikamilisha soon...
Habari za leo wanajamvi. Naomba kuju kama kuna yeyote ambaye jina lake lilitoka batch 1 lakini allocation haikupelekwa chuoni mwanzoni ila kwa sasa tayari amepata.
Kwa waliopata batch ya kwanza taarifa gani wanatakiwa kurekebisha? yaani mpaka jina linatoka taarifa zilikua na shida? walifanyia kazi na kujiridhisha kwamba anastahili mkopo tena batch one kwa taarifa ambazo hazikukamilika? Only in Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.