Mtoi hawawez kujibu hoja tena polisi n ofisi za ccm ziko jirani ata dk kumi huchukui kama walimtoa kalenga walishndwa nin kwenda takukuru/polisi moja kwa moja tena kule kuna watu wa takukuru wengi jimbon kalenga kama si michezo michafu
Lizaboni umemwelewa mtoa mada au unaleta mahaba swala apa kwa nin mnaogopa sanduku na mnataka kura za kinafki? Za kusema ndio huku nafsi inamsuta na kwanin n ccm pekee mnataka kura za wazi tu peke yenu? Muda wa kuburuzana umepita kila mjumbe atoe maamuz yake kwa kupga kura ya sanduku na si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.