Yericko NyerereWakuu kwanza nimpongeze RPC Mungi kwakusimamia miiko ya kazi ya upolisi hapo Iringa,
Lakini tatizo lipo kwa huyu RCO, huyu anatumika waziwazi na ccm, kiasi kwamba sasa anapingana na bosi wake ambaeni ni RPC waziwazi,
Amehujumu maamuzi ya RPC kwa kiwango kikubwa, na zaidi anajichukulia maamuzi yake bila kufuata taratibu za kiutawala na kiutendaji.
Mfano jana kavamia ngome ya Chadema akiwa na makada wa ccm anadai amepata taarifa chadema ina mabomu na smg, alipoombwa kibali cha kuja kukagua akawa hana, hivyo akazuiwa na kutaka kuanzisha fujo zisizo na ulazima, mpaka alipopewa taarifa Rpc na kuingilia kati suala hilo na yeye akatokomea na wahuni wenzake,
Matukio mengine madogomadogo anayoyafanya hapa kalenga yanaweza kizaa umwagaji damu hapo kesho au keshokutwa asipodhibitiwa huyu RCO,
IGP Ernest Mangu muwajibishe huyu mtu.
Chadema kalenga ni sawa na mgonjwa aliyeshindikana hospitali anaenda kusubiria kifo nyumbani
Tena mgonjwa huyu atafia njiani Chalinze (kwenye uchaguzi mdogo) akiwa njiani anarudishwa Tengeru kwa wazazi wakeChadema kalenga ni sawa na mgonjwa aliyeshindikana hospitali anaenda kusubiria kifo nyumbani
Yeye kasema RCO wewe RSO inatoka wapi?Sijakuelewa unamaanisha RSO kama Regional Security Officer yani Afisa usalama wa taifa wa mkoa, au RCO yani Regional Criminal Officer?
Wakuu kwanza
nimpongeze RPC Mungi kwakusimamia miiko ya kazi ya upolisi hapo Iringa,
Lakini tatizo lipo kwa huyu RCO, huyu anatumika waziwazi na ccm, kiasi
kwamba sasa anapingana na bosi wake ambaeni ni RPC waziwazi,
Amehujumu maamuzi ya RPC kwa kiwango kikubwa, na zaidi anajichukulia
maamuzi yake bila kufuata taratibu za kiutawala na kiutendaji.
Mfano jana kavamia ngome ya Chadema akiwa na makada wa ccm anadai
amepata taarifa chadema ina mabomu na smg, alipoombwa kibali cha kuja
kukagua akawa hana, hivyo akazuiwa na kutaka kuanzisha fujo zisizo na
ulazima, mpaka alipopewa taarifa Rpc na kuingilia kati suala hilo na
yeye akatokomea na wahuni wenzake,
Matukio mengine madogomadogo anayoyafanya hapa kalenga yanaweza kizaa
umwagaji damu hapo kesho au keshokutwa asipodhibitiwa huyu RCO,
IGP Ernest Mangu muwajibishe huyu mtu.
Yeye kasema RCO wewe RSO inatoka wapi?
Yeye kasema RCO wewe RSO inatoka wapi?
Machadema acheni uhuni, mnaanza kujihami baada ya mipango yenu haramu ya kupanga mauwaji kuumbuka ee
Wakuu kwanza nimpongeze RPC Mungi kwakusimamia miiko ya kazi ya upolisi hapo Iringa,
Lakini tatizo lipo kwa huyu RCO, huyu anatumika waziwazi na ccm, kiasi kwamba sasa anapingana na bosi wake ambaeni ni RPC waziwazi,
Amehujumu maamuzi ya RPC kwa kiwango kikubwa, na zaidi anajichukulia maamuzi yake bila kufuata taratibu za kiutawala na kiutendaji.
Mfano jana kavamia ngome ya Chadema akiwa na makada wa ccm anadai amepata taarifa chadema ina mabomu na smg, alipoombwa kibali cha kuja kukagua akawa hana, hivyo akazuiwa na kutaka kuanzisha fujo zisizo na ulazima, mpaka alipopewa taarifa Rpc na kuingilia kati suala hilo na yeye akatokomea na wahuni wenzake,
Matukio mengine madogomadogo anayoyafanya hapa kalenga yanaweza kizaa umwagaji damu hapo kesho au keshokutwa asipodhibitiwa huyu RCO,
IGP Ernest Mangu muwajibishe huyu mtu.
Machadema acheni uhuni, mnaanza kujihami baada ya mipango yenu haramu ya kupanga mauwaji kuumbuka ee
Machadema acheni uhuni, mnaanza kujihami baada ya mipango yenu haramu ya kupanga mauwaji kuumbuka ee
Historia inaonyesha, ukishaona CHADEMA wamepamba moto katika kutunga uongo namna hii, ni dhahiri kuwa wameshikwa pabaya, na keshokutwa hakuna watakachaoambulia, nilimsikia MBOWE anaapa mungu kuwa likitumika daftari la mwaka 2014, "KITAWAKA", Sasa nikajiuliza huyu huyu Mbowe ndiye aliyekuwa anashinikiza daftari liboreshwe, leo hii daftari Limeboreshwa anaanza kutishia watu wazima nyau!