Recent content by munirah

  1. munirah

    Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

    YUTIHAYI [emoji38]
  2. munirah

    Zingatia yafuatayo kabla hujaamua kununua bati la kuezeka nyumba yako

    Ni vema kujua rangi zote hupauka lakini inategemea na brand. Ukiingia sokoni kwa kudhani rangi hazipauki utakuwa unafanya makosa. Na tena ukiingia sokoni kwa kuteka bidhaa mteremko wa bei basi utaangukia pua zaidi. Cheap is expensive always. Nunua uhalisia wa bei na warrant.
  3. munirah

    Zingatia yafuatayo kabla hujaamua kununua bati la kuezeka nyumba yako

    Umeongea vema. Biashara ina vita vya kila aina. Propaganda nayo imetawala, ni muhimu mteja kuwa mtulivu na kufanya machaguzi sahihi na kuzingatia ubora
  4. munirah

    Zingatia yafuatayo kabla hujaamua kununua bati la kuezeka nyumba yako

    Kwani hapa JF haturuhusiwi kuweka uzi juu ya uzi? Je unadhani unaweza kuongelea mabati ukamaliza kila kitu au ww umeamua tu kuwa negative. Pole sana ndugu. Sisi tunashauri, tunasaidia wateja pia kupata bidhaa husika kwa uaminifu na katika rates halisi. Acha wivu wa kijinga
  5. munirah

    Zingatia yafuatayo kabla hujaamua kununua bati la kuezeka nyumba yako

    Kabla hujaingia kwenye kundi la walio wengi wanaolalamika kuhusu ubora wa bati katika kutoboka,kushika kutu, kupauka kwa sababu ya maamuzi yao wenyewe au kupotoshwa na wauzaji wenye tamaa ya pesa, Pata #ElimuNaUelewa Kuhusu mambo makuu matatu unayoweza kuyazingatia kabla hujaamua kununua Bati la...
  6. munirah

    Wadada mnaowadharau wanaume walimu, mtaendelea kulizwa sana

    Festled angesikilizia ikulu mitandaoni
  7. munirah

    22 wafukuzwa Nyegezi Seminary kwa tuhuma za ushoga

    Zamani ukizaa jike wengi unadharaulika na kukosa heshima ndani ya jamii Leo hii ni heshima kubwa sana kuzaa jike zaidi ya dume. Mwenye IQ ameelewa
  8. munirah

    Epuka sana kuwa na mwanaume kapuku, mnuka vumbi

    Siongei sana picha inajieleza
  9. munirah

    Wasanii wanaojieleza vizuri kwenye interview hawa

    Le mutuz yupo vizuri sana le mbebez
  10. munirah

    Kakataa kuolewa na mimi sababu sijatahiriwa

    Mila yenu inaruhusu kushauriea jf?
  11. munirah

    Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

    Bonge la advise
  12. munirah

    Barua ya wazi kwa Makonda na Sixtus Mapunda

    Kwa Uzi huu Lumumba nani ataenda kuchukua Ankara kesho....maana umeandikiwa hapo hapo na atadakwa
  13. munirah

    Maalim Seif ajibu tuhuma za kumsaliti Abdu Jumbe

    Jumbe alikuwa kizuizini hakuruhusiwa kuonana hata na siafu
  14. munirah

    Maalim Seif ajibu tuhuma za kumsaliti Abdu Jumbe

    Tuwe wakweli kama alimsaliti na wanaccm wanakubali hivyo na kama jumbe alikuwa sahihi kwa nn wamfunge na kwann wasitekeleze alichokisimamia jumbe ambacho ndo anakisismamia seif hadi Leo hii
Back
Top Bottom