Watu wanaoishi maporini na Wana mashine za kusaga zinazosaidia jamii zao ,Kuna watu maporini Wana pikipiki zao na vyombo vingine vingi so na wao wawe wanabeba majenereta Yao,mamashine Yao,mapikipiki Yao Hadi mjini kuyaweka mafuta..aisee
Habari, nakushauri kama utaweza tumia waffle slab,Kuna jirani angu amejenga gorofa kwa garama ndogo sana aliwapata jamaa wanaotumia hizo waffle sikufich nilipenda kuanzia muonekano wa hizo waffles na pia namna ilivyookoa garama maana formwork yake haikuhitaji marine bords na hata idadi ya nondo...
Kuna vitu Watu mnaongea mnafanya tuonekana baadhi ya Watu ni wajinga Kumbe Kuna Watu wapo smart tuu...mkubwa kasome Tena hiyo habari,wamekwambia hizo 2B zitajenga ofisi dar na znz,hivi kweli 2B unaiona Hela nyiingi ya kujenga majengo ya kisasa hapo masaki na Zanzibar Duuuu...Tutafuteni nada...
On the Field mambo sio rahisi kihivyo kaka,from no where tuu mtu akupe chance ambayo kwanza anakupa Kwa njia ambayo sio rasmi mbaya Zaid anatangaza kabisa hadharan hahahahaaaa...Ngoja tuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.