Mkuu karibu kwangu ni kufungulie dunia
Hadi hapo ulipo ulisha kufa mara kibao tu sema hukumbuki
Mwenyewe uhakika hawafi
Ni uamsho wa daraja la juu wa mwanadamu
Karibu kwangu nina majibu ya maswali unayojiuliza
Hail the Prince of light
Sawa mkuu naenda kukisoma
Ila Tablet of enochian magic ni ya kweli nina miaka nafanya ibada nyeusi natumia
Tatizo ni elimu ya kutumia hizo meza watu hawana
Mkuu giza kwa jina lingine ni void ,ni kwa sababu ya kutohoa lugha ila kitu ni kile kile
Darkness is a lack of light. Void is a lack of anything. Voids are usually portrayed as darkness because they lack light as well as substance; however, a true void would appear as a color [darker than...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.