Nitakufaje? Na lini? Wapi? Nikifanya nini?

Nitakufaje? Na lini? Wapi? Nikifanya nini?

Sio mbaya ata mimi,nilikuwa hapo lakini nilimake decision kwamba

Nitake,nisitake,nihamue,nisihamue kifo kipo on my side sasa nikaona kama ni hivyo sina haja ya kuogopa kitu naishi nacho kila siku,pole sana ila na uhakika upo kweny 25s kuenda juu ndio muda wa hayo madude kichwani kwa sisi wanaume
 
Mkuu karibu kwangu ni kufungulie dunia
Hadi hapo ulipo ulisha kufa mara kibao tu sema hukumbuki
Mwenyewe uhakika hawafi
Ni uamsho wa daraja la juu wa mwanadamu

Karibu kwangu nina majibu ya maswali unayojiuliza

Hail the Prince of light
 
Back
Top Bottom