Recent content by mungo

  1. M

    Makondakta wanatiwa hasara na Askari Polisi, Jeshi na Magereza

    Hata hivyo umeandika kishabiki sana. Unataka kusema kila trip kila daladala ina askari 7 ndani?. Uwe fair, hatushabikii sana lakini ungejua mazingira ya askari hata hilo lisingekuwa shida sana. Ni kwa vile tu si rahisi kuuvua mwili wako na ili uwe askari then uone kilichoko huko.
  2. M

    Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

    Maelezo yako sijui yana ukweli gani, after all, jali maisha yako na njia zako, vinginevyo ukiiga mambo ya watu hutafanya ya kwako. Ulijuaje huyu demu alipowasha simu na kumpigia huyu hawara yake wa siku zote. Ni kama unaleta habari tu ya kufikirika zaidi. Unapoteza muda kuangalia watu wanatiana...
  3. M

    Freeman Mbowe, awanunulia watu wa Hai gari la takataka

    Faizafox hata siku moja hawezi kuona lolote jema linalofanywa na wasio wana ccm, haya hamna neno lakini mimi naamini hata huko unakosema mko sawa kuna madudu mengi tu yasiyo sawa, ndo maana leo dola iko tsz 2215/-.
  4. M

    Maelekezo ya mahesabu mapya kwa wadaiwa wa loan board

    Mbona hiyo recalculation huisemi vizuri. Lazima kuna factor au percent wanazotumia kufanya calculation. Tueleze hiyo tujue msingi wa 1m kuongezeka hadi 6m, vinginevyo hatuwezi kuchangia mawazo yenye manufaa.
  5. M

    Nape amvaa Dr. Slaa

    Kama ana ushahidi si aseme!1, kwa nini asubiri kusemewa na mtu mwingine. Hoja dhaifu
  6. M

    Baraza la Washauri la Wazee CCM: Majina yote ya wagombea yaingie NEC

    Porojo tu na mawazo ya waliolala hayo,subiri utauona mziki wa vikao.Siku mbona zimeisha!!!,mnakuja na manenooooooooo.
  7. M

    Makongoro Nyerere aaga mbio za Urais, ajikaanga kwa mafuta yake

    Kwani Wasira hakuwahi kuhama chama?, tumia akili kuleta mada badala ya kutupozea muda kusoma maelezo yasiyo na maana. Kama haumuuingi mkono kaa kimya badala ya kupaka matope, poor Tanzanian
  8. M

    Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

    kwani ZZK anagombea urais???, halafu maneno ya kusema eti anakutanishwa na hivi vichwa!!!, wewe ndo unatia aibu sana,
  9. M

    Siri ya watia nia, Wengi ni mtandao

    Hiyo ni nadhalia ambayo haiwezi kufanya kazi kama unavyofikiri.Subiri uone, muda mbona umeisha!!1, tusiandikie mate wakati wino upo
  10. M

    Msaada: Fund Proposal for College Fee

    Halafu, hii mada kama vile ni jokes tu, hivi unaandikaje fund proposal zaidi ya vile ilivyokuwa outlined kwenye fee structure ambayo huonesha fee paid direct to school and fund for personal use kama vile chakula, malazi, vitabu nk. Hapa unaleta utani tu usiokuwa na tija. Hata hivyo bado tunaweza...
  11. M

    Msaada: Fund Proposal for College Fee

    Taja hiyo kozi unayotaka kwenda kusomea tukujulishe zaidi,hata hivyo sina imani kama kweli hiyo kozi haipo hapa nchini kuanzia Mzumbe, Muccobs, UDSM, SUA, ESAMI, SAUT, Tumaini, UDOM, Mount Meru, St Joseph, IFM, CBE, nk. Labda ungesema unataka kwenda kusomea ng`ambo ila si kwa maana ya kuwa hapa...
  12. M

    Maswa: Viongozi na wanachama wataka kuzipiga kavukavu mbele ya Waziri Kamani

    Poleni sana, Kazi kubwa imefanywa na Taasisi Yetu (PASS TRUST), tuliandaa business plan, tukawaunganisha na benki na hatimaye wamepata matrekta. Mliopata mzingatie masharti ya mkopo na mkopo ni deni siyo sadaka na dawa yake ni kulipa
  13. M

    Kwa hili la kupinga matumizi ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia Kapuya aungwe mkono!

    Watanzania kwa kweli hatujitambui, kuna mtu hapa anakuja kulinganisha Tanzania na Japan, Ujerumani n.k. Kama hatuwezi hata kuchonga tooth pick, au mafagio ya ndani hadi yatoke China, hicho kiswahili kitatusaidia nini?,naomba mwenye utaalamu wa kuweka clip hapa anisms kwenye namba yangu...
  14. M

    UKAWA wakimsimamisha Dk. Slaa itakuwa landslide victory kwa CCM

    weka results ya matokeo ya uchaguzi 2010 mikoa yote uliyoitaja, piautueleze hao waliofukuzwa kule sumbawanga ni akina nani ulete na ushahidi, hata hivyo Dr Slaa akishindwa wewe unaathirika nini?
Back
Top Bottom