Ya Allah nakuomba uniondolee maradhi niliyonayo umpe mja wako huyu asiyeamini uwepo wako kupitia kwayo atapata kukujua .ee mola naomba unikubalie dua hii ili apate cha kujifunza.amen
Kweli kabisa waafrika wengi wamepoteza mwelekeo mtoto akizaliwa wazazi wanawahi ktk internet kugoogle jina la kidhungu huku wakiwa wanajiita wasomi na wenye kutumia majina ya kienyeji ya familia zao
Kiwanja kipo kinyerezi mita 20 kutoka barabara ya lami inayoelekea ktk mitambo ya umeme wa gesi.
Ukubwa wake ni m40 kwa 35.
Bei Tshs mil 25 na mazungumzo yapo.
Simu 0715/0754/0783 472414
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20.
Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo.
Piga simu 0754/0715 472414
Nauza Fuso Mignon Tipper ipo katika hali nzuri sana.Tairi zote mpya na vibali vyote vipo hai.Bei Tshs Mil 22 na mazungumzo yapo.Gari ipo DSM mbezi temboni.Simu no 0715/0754 472 414 na whatsup 0783 472 414
Nauza gari aina ya Fuso mignon Tipper ipo ktk hali nzuri ina tairi zote mpya na vibali vyote vipo hai.Bei ni Tshs mil 22 na mazungumzo yapo Gari ipo mbezi temboni.Kwa simu no 0715/0754 472 414 kwa picha what sup 0783 472 414 .Nashindwa ku upload picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.