Mtoa mada nadhani hujui ukubwa wa tatizo la migogoro ya ardhi,na mara nyingi masikini ndo wanaoonewa sababu hawana uwezo wa kushindana na wenye pesa na connection.
Kuna kipindi kkoo ilikuwa inajaa wafanyabiashara kutoka nchi za jirani,yani ukipita madukani wapo wanafungasha maroba yale na kuandaa oda,hoteli za kariakoo walijaa,lakini wote walipotea.Nafikiri sasa watarudi tena,magari ya transit yatabeba mizigo kama yote maana wameruhusiwa kubeba bidhaa...
Tuliambiwa mzee mangul amewekewa sumu akiwa ndani ya mkutano,mpaka leo hajakamatwa mtu!ccm haifai kuongoza nchi na tutaendelea kulalamika miaka nenda rudi kama itaendelea kubaki madarakani.
Nilichogundua kilemba ndio changamoto inayofanya biashara iwe ya faida nyingi maana haiwi na watu wengi sana watakaoshusha bei ya bidhaa,inavyoonekana ukitoboa kwenye kilemba basi umeshatoboa kibiashara.😃
Uko sawa,lakini pia ukiacha vetting inatakiwa njia za kumdhibiti Rais akiwa madarakani maana mnaweza kufanya vetting vizuri lakini mtu akabadilika baadae.
Hilo neno la urais ni taasisi nimeshalidharau kabisa na kuona ni takataka,na kama lipo basi sio Tanzania,labda ulaya huko.mtu alikuwa anajiamulia anavyotaka halafu useme taasisi,taasisi ya
Hata mimi nilikuwa chawa😃ila nilimkataa mapema sana,haikuwa hali ya kawaida kwa Tanzania yetu!viongozi wenye mamlaka ya kurekebisha ili kusitokee tena jambo kama hili wafanye hivyo sasa,hatari imeshaonekana maana huko mbele kunaweza kutokea kiongozi akawa mharibifu hakuna mfano na hakutakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.