Aliyejirekodi alizingua, vile vile kwa mtazamo kama mzazi, ndugu wa binti, rafiki na jamii kwa ujumla aliyevujisha video ni mpuuzi/mshamba mambo private yanavujishwa hadharani ili iweje?
Mwanza ipo mbele ya Arusha kwenye mambo mengi, ila Arusha imeizidi Mwanza na sehemu nyingi za Tanzania kwenye huduma za mahoteli kutokana na exposure ya utalii
Mungu fundi, mwisho wa siku wote tutakufa, mvua ikinyesha leaching inatokea madegree, madiploma, ma certificate, madivision yoteee yote yanasombwa na maji kutoka ardhini yanakuwa deposited baharini na maziwa, shida kweli kweli...tumche Mungu
Wazo zuri kununua na kuhold kwa muda kwaajili ya growth, wwkati wa kununua kwa app unatakiwa uchaguz broker. Changamoto ipo hapo, nani ni responsive Kwenye hio list.
Habari, naomba msaada wa kuapata suggestions za majina ya brokers wa DSE ambao kwa experience zenu wapo active, responsive kwa wateja wanaotaka kufanya trading ya kuuza na kununua hisa hasa kwa mihamala midogo midogo. NB. Kwa experience binafsi response sio mzuri mabroker hawajibu.
Asante
pata picha ya gari ukipeleka kwa fundi litengenezwe, baada ya matengenezo fundi analifanyia testing kama gari limetengamaa hivi huwa mafundi wanandeshaje haya magari kwenye hio testing yao?
fikiria gemu anayopigwa wife na mchepuko ipoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.