Mm nina imani ndoa inaendana na malenzi ya dhati bila kujali kazi wala chochote. Hataukiolewa na mwalimu afisa manunuzi kondakta wa daladala mkulima mvuvi nk kamahamkupendana ni kazi bure hamtaendelea lkn ukiolewa na yeyote mnaependana cna kwa kidogo mlicho nacho mtapanga mpaka mpata makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.